STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
[emoji23][emoji23][emoji23]nyie ndio mliokua mkipiga kelele kuwa Ukraine inashinda vita, Nato weusi banaaa[emoji16]Mnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
[emoji23]Ndio hawa waliosema kuwa Russia hawezi kuchukua kiwanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Majibu mtayapata mwaka huu nani mbabe wa Dunia.
Nimeota ndoto kuwa Russia imeanzisha mashambilizi makali Sana kutoka mashariki kuelekea Kiehv , na kasikazini kukiwa na jeshi kubwa kabisa kutoka Beralus , huku kusini kukiwa na mapambano makali saa kuelekea Kihv wanajeshi wa ukreni wakatupa silaha na kuanza kukimbia ovyo. Rais Zelensky akiwa kwenye mkutano na Baraza lake la mawazili wakapata habari hizo , wakapanga kutoroka kwa reli lakini mbele ikawa reli imekatawa ,wakadakwa kiulaiiini. Mwisho wa ndoto yangu.Vita ya ukraine ni jina tu, pale Russian anapambana na dunia. NATO wapo hapo kuaklkisha Russia anashindwa hii vita vibaya sana lakini kwa bahati mbaya sana Russia ana advance kila siku anaimega Ukraine kimasihala na mtake msitake military operation will be succeeded
Wiki yote ya Nini? Vita vyao ni vya madakika, imezidi masaa. Hatatumia mizinga, vifaru, risasi Bali siraha za SUMU.Mnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
Russia anapambana na Nato plus USAMnamkuza sana US. Vi nchi vya ulaya vyote vinategemea gesi kutoka Russia. Ulishasikia asilimia 30 ya mafuta ya kula duniani yanatengenezwa Russia.
Ukraine wanazalisha theluthi moja ya ngano duniani. Russia ana impact kubwa kwenye kubalance bei ya mafuta duniani. Halafu anatokea pimbi anasema eti US anaweza kumpiga Russia ndani ya wiki. Vita usiiangalie kwenye silaha za kivita tu, uchumi pia ni silaha. Mmeona ilivyoathiri Bei za bidhaa duniani.
Vita ya mwisho alivyowahi kupigana US peke yake ni Vietnam tu. US hapigani vita peke yake, lazima aingize na washirika na anaangalia pia ataathirika au atafaidika vipi kiuchumi.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
The time has proved that there's no country can confront the US.
Russia has already shaken by proxy war in Ukraine. Russia to invade US is suicide decision that can't be made now even putin and his asslickers know this sad truth.
Mshawishi Cowboy ashushe some shells basi pale Urusi tuamu mchezoMnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
Pale plan yetu ni akae muda mrefu ili uchumi wake uumie. Strategy ndio hiyo hiyo kumsukumia china kule taiwan ili vikwazo vimsimamishe kiuchumi.Mshawishi Cowboy ashushe some shells basi pale Urusi tuamu mchezo
Mimi.Nani kasema invasion?
Us gani ile iliyoshindwa Vietnam,libya, Afghanistan,iraqMnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
KwaniniMnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
Amezidiwa kila kitu (uchumi, washirika, silaha) na tàyari marekani kamzunguka na kambi za kijeshi.Kwanini
Ah wapi, Urusi inaweza kuwa na Vita Hata Nne na Bado ikazimudu.Source ?
Vita vya Ukraine vinamtosha Urusi kwa sasa, ni ngumu kuanzisha Vita mpya.
Uchumi wao uliowekewa vikwazo hauruhusu hayo ulioandika.Ah wapi, Urusi inaweza kuwa na Vita Hata Nne na Bado ikazimudu.
Man Power wanayo, Over 2M People
Vifaa wanavyo Vingi sana Tangu enzi ya USSR,
Nuclear ndo usiseme, Over 6000 Nuclear war heads.
Millitary and Full scale war Budget wanayo ya kulast Over 4 years, na nikisema over 4 years namaanisha wapigane bila kupumzika asubuhi na Jioni, Mafuta ya Vifaa ndio usiseme, Chakula kipo Cha Kutosha. What else?
Urusi Wana legacy ya USSR vs NATO Sasa sijui watu wanababaika nini. Ila urusi anapoona anazinguliwa atashusha Nuclea. Who's ready to carry atomic bomb. Nadhani wamarekani wawe wapole tuuu. Un less wakitaka waishushe Moscow in which pitin seem to be ready na yeye kumuwahi muamerika. Haya mambo yasikieni tuAh wapi, Urusi inaweza kuwa na Vita Hata Nne na Bado ikazimudu.
Man Power wanayo, Over 2M People
Vifaa wanavyo Vingi sana Tangu enzi ya USSR,
Nuclear ndo usiseme, Over 6000 Nuclear war heads.
Millitary and Full scale war Budget wanayo ya kulast Over 4 years, na nikisema over 4 years namaanisha wapigane bila kupumzika asubuhi na Jioni, Mafuta ya Vifaa ndio usiseme, Chakula kipo Cha Kutosha. What else?
Vikwazo vipi wakati Mpaka Leo Europe Wananunua Mafuta na Gesi kutoka Urusi tena wengine Kwa Pesa ya Urusi, Inshort ni kwamba Russia can never be Isolated, Bado makampuni Mengi tu ya Ulaya yanafanya kazi Urusi, na Yaliyoondoka hayajanodoka kikamilifu, Mengi yameweka terms kwamba mambo yakikaa sawa yatarudi kuendelea na Kazi.Uchumi wao uliowekewa vikwazo hauruhusu hayo ulioandika.
Basi endelea kuota hivyo hivyoNimeota ndoto kuwa Russia imeanzisha mashambilizi makali Sana kutoka mashariki kuelekea Kiehv , na kasikazini kukiwa na jeshi kubwa kabisa kutoka Beralus , huku kusini kukiwa na mapambano makali saa kuelekea Kihv wanajeshi wa ukreni wakatupa silaha na kuanza kukimbia ovyo. Rais Zelensky akiwa kwenye mkutano na Baraza lake la mawazili wakapata habari hizo , wakapanga kutoroka kwa reli lakini mbele ikawa reli imekatawa ,wakadakwa kiulaiiini. Mwisho wa ndoto yangu.