green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mkazi wa Manerumango unaijua misimamo yao kuliko wao wenyeweRussia na Israel hawawezi kupigana hata siku moja. Watatofautiana kimisimamo Ila Wana mipaka yao.
uteule wao ni upi? Sasa wewe una tofauti gani na waislamu kuhusu waarabu?Kashindwa kuwafurusha Yukrein atawaweza hao wateule
Watakwenda kupigania ukrane bado naona hiloMaandamano huku mchizi anafanyiwa upasuaji wa puru.
Marekani imeonyesha udhaifu Sana kushindwa kuzuia vita ya Netanyau kule GazaRussia anatafuta kuwa relevant; na anataka kutumia mwanya uliopo wa siasa chafu ziendazo na uchaguzi wa Marekani kipindi hiki. Imekuwa ni vigumu Marekani kutoa silaha za misaada kwa sababu za kisiasa za ndani.
TUNAANZA TENA KUWALILIA MAKAFIR WATUSAIDIE NA TULISEMA SISI WENYEWE TUNAWAWEZA? KWELI KISICHO RIZIKI HAKILIKI. ZI WAPI ZILE TAMBO ZETU?🇷🇺🇸🇾 Russia tells Israel the Golan Heights belong to Syria.
Russian Armed Forces intensify operations in Syria, striking ISIS and expelling Israel from the Golan Heights.
HUYU DOGO HAJUI. ANA HANGAIKA SANA KUOMBA MSAADA.Russia na Israel hawawezi kupigana hata siku moja. Watatofautiana kimisimamo Ila Wana mipaka yao.
Mimi Nasubiri Putin auawe nchini mwake🇷🇺🇸🇾 Russia tells Israel the Golan Heights belong to Syria.
Russian Armed Forces intensify operations in Syria, striking ISIS and expelling Israel from the Golan Heights.
Dini yao ya hovyo, wanafundishwa mambo ya ajabuNina wasiwasi mkubwa na watu wa dini hii. Mawazo yao na matusi ni kama chai kwao..