Russia imeiambia Israel iondoke Golan kabla hawaingia vitani kuwafurusha

Russia imeiambia Israel iondoke Golan kabla hawaingia vitani kuwafurusha

Hivi kwa akili zako hao unaowaona hapo Israel ndio wayahud Halisi aliwabariki Allah? Hao ni wahuni tu wa kizungu
Allah sw anawazungumzia Wana wa Israel na si wayahudi,musa' hakuwa myahudi,uyahudi ni dini ndiyo maana Kuna waethiopia, Eritrea na wengine wengi Wana Imani ya kiyahudi, netanyahu na waturuki wenzie na Ukraine wamejiita wayahudi na kwenda kupora ardhi za watu
 
Wamalizane kwanza na Ukraine. SMO ya siku tatu imekua zaidi ya miaka 3 sasa.
Ukumbuke Ukraine inasaidiwa na NATO NZIMA.
AU USHAHASAU kuna mpaka wanajeshi wa US waliwahi penyezwa ndani ya vita?
 
Allah sw anawazungumzia Wana wa Israel na si wayahudi,musa' hakuwa myahudi,uyahudi ni dini ndiyo maana Kuna waethiopia, Eritrea na wengine wengi Wana Imani ya kiyahudi, netanyahu na waturuki wenzie na Ukraine wamejiita wayahudi na kwenda kupora ardhi za watu
Waturuki wanaingiaje tena!?
 
Waturuki wanaingiaje tena!?
Hao akina netanyahu na wenzie wanaojiita waisrael ni waturuki na WA Ukraine,uturuki Kuna kiongozi aliupenda uyahudi,akafuata hiyo dini na watu wake,walichokifanya ni kama wamisri wawe waislam halafu wavamie Makkah wakidai ni kwao kisa waislam na Pana msikiti mtakatifu na viwanja vya hijjah
 
Marekani imeonyesha udhaifu Sana kushindwa kuzuia vita ya Netanyau kule Gaza

Udhaifu kwa israel tu, ila kumsapoti Ukraine hakua dhaifu 😁

USA anamsapoti ISRAEL, dunia yote wanajua, siku hizi mitandao ipo open kila kitu kinaonekana mkuu
 
We

Wewe mkazi wa Manerumango unaijua misimamo yao kuliko wao wenyewe
Bottom line wabongo wote ni keyboard warriors, including wewe. Rekebisheni matatizo ya nchi yenu kabla ya kujadili ya wengine wakati kwenu tu hamjiwezi
 
Bila Israel hakuna Russia na bila Israel hakuna Marekani. Hayo mataifa hakuna wa kupigana na Israel, jihadists wamelewa tu futali.
 
Ukumbuke Ukraine inasaidiwa na NATO NZIMA.
AU USHAHASAU kuna mpaka wanajeshi wa US waliwahi penyezwa ndani ya vita?
Hawana jipya bhana! Ingekua Mmarekani shughuli ingeisha siku nyingi sana
 
Hawana jipya bhana! Ingekua Mmarekani shughuli ingeisha siku nyingi sana
Kama alivyoshindwa kumaliza Shughuli;
-Korea war.
-Viet gong war.
-Syria.
-Yemeni
Na Ukraine???
Maana mfadhili mkubwa wa Ukraine katika hii vita ni USA.
Chukulia picha USA angekua anaandamwa na mataifa mengi kama ilivyo Russia ingekuaje.
USA ndani kila siku misaada na Ukraine hawajaweza kujikomboa.
 
Back
Top Bottom