inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Allah sw anawazungumzia Wana wa Israel na si wayahudi,musa' hakuwa myahudi,uyahudi ni dini ndiyo maana Kuna waethiopia, Eritrea na wengine wengi Wana Imani ya kiyahudi, netanyahu na waturuki wenzie na Ukraine wamejiita wayahudi na kwenda kupora ardhi za watuHivi kwa akili zako hao unaowaona hapo Israel ndio wayahud Halisi aliwabariki Allah? Hao ni wahuni tu wa kizungu
Huyo ajibiwe namna anavyokujaHuyo jamaa punguani achaneni nae.
We unaona watu wanamjibu?
Ukumbuke Ukraine inasaidiwa na NATO NZIMA.Wamalizane kwanza na Ukraine. SMO ya siku tatu imekua zaidi ya miaka 3 sasa.
Waturuki wanaingiaje tena!?Allah sw anawazungumzia Wana wa Israel na si wayahudi,musa' hakuwa myahudi,uyahudi ni dini ndiyo maana Kuna waethiopia, Eritrea na wengine wengi Wana Imani ya kiyahudi, netanyahu na waturuki wenzie na Ukraine wamejiita wayahudi na kwenda kupora ardhi za watu
Hao akina netanyahu na wenzie wanaojiita waisrael ni waturuki na WA Ukraine,uturuki Kuna kiongozi aliupenda uyahudi,akafuata hiyo dini na watu wake,walichokifanya ni kama wamisri wawe waislam halafu wavamie Makkah wakidai ni kwao kisa waislam na Pana msikiti mtakatifu na viwanja vya hijjahWaturuki wanaingiaje tena!?
Vita haipiganwi kwa maneno,,waingize mguu waone mziki
Marekani imeonyesha udhaifu Sana kushindwa kuzuia vita ya Netanyau kule Gaza
Bottom line wabongo wote ni keyboard warriors, including wewe. Rekebisheni matatizo ya nchi yenu kabla ya kujadili ya wengine wakati kwenu tu hamjiweziWe
Wewe mkazi wa Manerumango unaijua misimamo yao kuliko wao wenyewe
Hawana jipya bhana! Ingekua Mmarekani shughuli ingeisha siku nyingi sanaUkumbuke Ukraine inasaidiwa na NATO NZIMA.
AU USHAHASAU kuna mpaka wanajeshi wa US waliwahi penyezwa ndani ya vita?
Kama alivyoshindwa kumaliza Shughuli;Hawana jipya bhana! Ingekua Mmarekani shughuli ingeisha siku nyingi sana