Russia imetangaza dau kwa Marubani watakao torosha ndege za F 16

Russia imetangaza dau kwa Marubani watakao torosha ndege za F 16

Mwe mwe mweee. Laiti ungelijua East walivyoboboea katika ushoga wala usingelisema hivyo. Jaribu kupata habari e.g. Mji wa Pattaya ulioko huko mashariki nchini Thailand. Ni bora anayefanya ushoga kwa uwazi kwani tutajua amefikia wapi kuliko yule anayeusagia kunguni ushoga kwa wazi lakini huku kwa siri anaufanya na kuuendeleza Hatutajua amefikia wapi ila unastukia paaap" yupo miguuni kwako.
Anaepigia mstari anaonekana haihitaji propaganda nyingi.......,mrusi ameshaukataa inatosha.......nyie endeleeni kujiachia na ushoga wenu kwenu si kawaida tu
 
Anaepigia mstari anaonekana haihitaji propaganda nyingi.......,mrusi ameshaukataa inatosha.......nyie endeleeni kujiachia na ushoga wenu kwenu si kawaida tu
Mrusi aliukataa wapi? Mbona ndiye anayeufanya kiasi cha kupitiliza lakini kwa siri? Kama ushoga usingelikuwako huko Urusi basi kungelikuwa hakuna sababu ya kuweka Sheria au Katazo.
Soma hapa..

Russia​

Overview​

Homosexuality is legal in Russia since 1993, however societal anti-homosexual sentiments are high with over 70% of the population holding hostile views towards homosexual people. Currently there are no laws in place protecting LGBT people in Russia from discrimination in areas of employment, housing or military service. However, legally homosexual people are allowed to serve in the military openly. In fact, a law that banned 'propaganda of nontraditional sexual relations' practically legitimises discrimination against LGBT people. Same-sex partnerships is not recognised by law. It is legal to change one's legal gender, but sex reassignment surgery is
 
Urusi imetangaza dau mamilioni ya Dola kwa Marubani wa Ukraine na Western watakao rusha ndege za F 16 za msaada kwa Ukraine wazitoroshe kwenda Urusi

Russia promised Western and Ukrainian military pilots a million dollars for the ``kidnapped'' fighter F-16

IF THEY DEFECT TO HER SIDE WITH THE ARMS OF THOSE FIGHT PLANES - THE BONUS WILL BE INCREASED

The pilot or pilots who defect from the F-16 to Russia will be guaranteed anonymity, a safe flight corridor and escort in all phases акције , and will also receive new documents and a new place of residence.
Vita Hadaa: Hapo uenda kapiga jiwe moja ndege wawili. Moja, kawatisha US 🇺🇸 wabalance uingizwaji wa F16. Pili, kama rubani akifanikiwa kuileta Russia basi watapata advantage ya kuisoma mifumo iliyopo katika ndege hizo.
 
Vita Hadaa: Hapo uenda kapiga jiwe moja ndege wawili. Moja, kawatisha US 🇺🇸 wabalance uingizwaji wa F16. Pili, kama rubani akifanikiwa kuileta Russia basi watapata advantage ya kuisoma mifumo iliyopo katika ndege hizo.
 
Mrusi aliukataa wapi? Mbona ndiye anayeufanya kiasi cha kupitiliza lakini kwa siri? Kama ushoga usingelikuwako huko Urusi basi kungelikuwa hakuna sababu ya kuweka Sheria au Katazo.
Soma hapa..

Russia​

Overview​

Homosexuality is legal in Russia since 1993, however societal anti-homosexual sentiments are high with over 70% of the population holding hostile views towards homosexual people. Currently there are no laws in place protecting LGBT people in Russia from discrimination in areas of employment, housing or military service. However, legally homosexual people are allowed to serve in the military openly. In fact, a law that banned 'propaganda of nontraditional sexual relations' practically legitimises discrimination against LGBT people. Same-sex partnerships is not recognised by law. It is legal to change one's legal gender, but sex reassignment surgery is

Hio ndo latest

Huku hao unaowatetea wamewaminya waganda sababu ya sheria za kukataa ushoga,,kwahio ili upate visenti vyao ukubali kutinduliwa tope

 
Kuna watu ni vichwa panzi kabsa hii kauli tu. first ita watia Western hofu ya kupeleka ndege nyingi ,second ita waondolea hali ya kuaminiana marubani wao kwa wao .third wenye tamaa lazima waipeperushe kwel hadi russia [emoji725]
 
Hii vita Putin anapigana kijanja sana,anairefusha makusudi ili Marekani na nchi za Ulaya wayumbe kiuchumi. Kwani mrusi kaishiwa drones hadi atumie za Iran,kwa nini kachukua tani za silaha kutoka N korea. Ndiyo maana anataka hizo silaha wanazompa Ukrani azitumie hizo hizo kuwachapa nazo. Putin ni genius sana
Wakati Ulaya na Marekani wana shuka kiuchumi sababu ya vita hivyo, yeye Putin na Urusi yake wanakuwa wanapaa kiuchumi?
 
Hawezi kufanikiwa, rais atakayekuja baada ya Putin atapata shida kujenga uchumi wa Rusia, huwezi shindana na nchi tajiri kiuchumi ikabaki salama, gharama za vita ni kubwa sana, hicho kitu nilishasema Ukraine hawezi salim amri na wakati NATO yuko nyuma yake. Hizo nyuklia anaposema atawapiga NATO na wao wanazo hata Rusia haiwezi kubaki salama, akipiga na wao wanapiga. Vita ya nyuklia haina mshindi .Akipiga yeye wananchi wake atawaficha wapi?
Huu ndio uwezo wa watanzanzia kufikiria
 
Warusi wachovu tuuuu ktk system za maisha. Uwezi kuwa mjamaaa ukawa na akili nzuri hata siku moja
Mojawapo ya kasoro za Warusi Ni walevi wa kutupwa na hawaishi kujibamba na kujiona wao ndo watu. Lakini pia kama ulivyodokeza hapo juu, wengi wao vichwani ni empty kabisa (Tabula rasa)
 
Mojawapo ya kasoro za Warusi Ni walevi wa kutupwa na hawaishi kujibamba na kujiona wao ndo watu. Lakini pia kama ulivyodokeza hapo juu, wengi wao vichwani ni empty kabisa (Tabula rasa)
Yani taifa la kwanza kwenda anga za juu kwako ni tabula rasa kawasome kina yuri gagarin na mwanamama tereshkova ; na hiyo ni 1960s
 
Yani taifa la kwanza kwenda anga za juu kwako ni tabula rasa kawasome kina yuri gagarin na mwanamama tereshkova ; na hiyo ni 1960s
Sawa. Lakini hao ni wachache i.e. Statistically is an Insignificant figure. Nenda kwenye majority ndo utashangaa.
 
Wakati Ulaya na Marekani wana shuka kiuchumi sababu ya vita hivyo, yeye Putin na Urusi yake wanakuwa wanapaa kiuchumi?
Ukiwasikiliza vijana wa Putin unaona kabisa udini na utoto unawasumbua. Wasamehe bure.
 
Back
Top Bottom