George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
🤡Hawezi kufanikiwa, rais atakayekuja baada ya Putin atapata shida kujenga uchumi wa Rusia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤡Hawezi kufanikiwa, rais atakayekuja baada ya Putin atapata shida kujenga uchumi wa Rusia
F16 ndo mzigo wa NATO. Halafu Isha prove battle fitness. US hawezi pelwka f35 kwa all NATo members hiyo ndo pigo lake la mwisho na bado halijaa kaa sawa. Unafikiri hawata defect?Anashindwa nini kuboresha mifumo yake ya ulinzi ili kuzishusha hizo ndege?
Kama F16 tu anaanza kutoa fungu la hongo kwa marubani, vipi kwa F18, F22 na F35?
Kabisa. Fikra zake zimekwama kabisa. Anaruka ruka tuPutin mshamba, akili yake alidhani atadhofisha uchumi wa dunia, maana ni wazo lake la miaka zaidi ya 30 nyuma akijiwekeza kuja kuivuruga Ulaya na USA
hyo nayo ni mbinu ya kumlegeza aduiAnashindwa nini kuboresha mifumo yake ya ulinzi ili kuzishusha hizo ndege?
Kama F16 tu anaanza kutoa fungu la hongo kwa marubani, vipi kwa F18, F22 na F35?
Hamna akili kabisa pale. Hii Vita sawa na kwamba amefail. Kwenye hiyo Vita Putin alitegemea mambo mengi sana yatokee. 1. Alitegemea kulimaliza Vita kwa muda mfupi,then Ukraine atasalimu amri. 2. Alitegemea sana kuutikisa uchumi wa dunia nzima. Hapo ndio jumuia ya ulaya na USA walipofauru 💯.nyinyi amjamsoma akili za putin, anaangalia muitikio wa marubani wa ukraine. Hizo anazitamani sana wazilete anajifanya kama anaziogopa ili ziingie
Kwani uchokozi kaanza nani?Putin mshamba, akili yake alidhani atadhofisha uchumi wa dunia, maana ni wazo lake la miaka zaidi ya 30 nyuma akijiwekeza kuja kuivuruga Ulaya na USA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hongera kwa kusoma akili ya Putin