Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Okhmatdyt hospital iliyoko Kiev, ni moja ya hospitali kubwa Ulaya maalumu kwa ajili ya watoto wanaougua kansa.

Waliolengwa ni magaidi ya Ukraine waliokuwa wamejificha kwenye hospitali hiyo.

Ifike wakati Zelensky akubali kushindwa tu.

Before



After

 
Pole mkuu kwa kuangukia propaganda.
Kwa vile umelishwa picha na hujelewi, ujue hapo palikuwa na mizinga hapo imewekwa na ili ikipigwa kitokee kilio kama unachokipigia chapuo.
Mrusi si mjinga!
 
Sheria za vita jeshi wakikimbikia kwenye shule au hospital au kuficha silaha sehemu hizo zinakuwa ni military sites zinaweza kulipuliwa TU. Na hii haihesabiki na uhalifu wa kivita kwa mpigaji Bali aliyepeleka jeshi au silaha ndio huwa mtuhumiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…