Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

Kuna magaidi yalijificha hapo

Pia unakumbuka shambulizi la beach kule Crimea watoto 2 waliuawa. Russia wamelipiza kisasi
Alaa tit for tat jino kwa jino basi waukraine na wao wakifanya yao kwa migaidi ya kirusi iliyovamia nchi huru ya ukraine putinnya asilielie kwamba ohhh wamesaidiwa na US mara ohh russia ina nyuklia
 
Wakaazi wengi wa dunia hawajui kinachoendelea Ukraine kwasababu hawajataka kujua...

Hii houspital ya watoto ilitumika kama ukumbi wa wanajeshi wa NATO kukutana na kupanga namna ya kuvuruga usalama Urusi.

Wakufunzi wa NATO hasa wa mataifa matano ya ufaransa, marekani, ujerumani, uingereza na Poland walisafiri kwa njia ya reli ya kiraia ili waweze kufika kwenye kikao chao bila kutambuliwa lakini bahati mbaya warusi walikuwa macho kufuatilia.

Screenshot_2024-07-08-22-10-37-51.png


Baada ya hawa wakufunzi wa NATO kujiona wamefika hapo wakiwa na baadhi ya silaha waliona hawajaonwa hivyo wakakusanyana bila hofu ndipo wakashushiwa kitu kizito.

Warusi hawajataka kutumia zana nzito sana sababu wangezika kila kitu hapo sema wameamua kula vichwa vya NATO ndio maana unaona bado majengo hayajageuzwa vifusi.
Screenshot_2024-07-08-22-45-31-36.png
Screenshot_2024-07-08-22-41-49-57.png
 
Back
Top Bottom