Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

Mkuu, usibweteke na hiyo propaganda ya Ukraine nanchi za magharibi.

Russia hawawezi kupiga makombora hospitali.

Hiyo hospitali imedunguliwa na makombora ya AD ya Ukraine yalokuwa yakijibu mapigo ya Russia na ndo yakadondokea kwenye hiyo hospitali.

Jeshi la anga la Russia likuwa na shughuli ya kuharibu mabohari yalosheheni silaha za akila aina zikiwemo za Strom Shadow.

Sema hilo eneo la viwanda au Industrial Complex lipo karibu na hiyo hospitali.

Pia wahandisi wa kigeniwalokuwa wakitayarisha silaha hizo wote wameuawa.
Yeah, waliolengwa ni magaidi ya Ukraine
 
Tulieni mwanaume amwage shahawa, nye nye nye za nini? Mlipoua watu kanisani mlitegemea Russia ifanyaje. Mnatoa report za kutaka huruma, hakuna huruma kwenye vita. Kama mnapanga udhalimu wenu kwenye maeneo ya raia badala kambi za kijeshi, nani ni mshenzi. Kaeni kwa utulivu, mkihisi ujotojoto ujue mwanaume kalimwaga.
 
Kwahiyo ni hata Netanyahu ni sawa akipiga hospitals kwasababu Hamas wamo humo na wanaficha silaha?
Kwa Hamas haikuthibitika,ICC ilimuumbua Netanyahu kweupeee.
Alipeleka hadi video ambazo ni edited akidai ni Alshifa hospital Hamas wanapatumia kuficha silaha.
Ila zikakaguliwa na kuonekana fake videos ni za kuundwa.
Msilete mambo ya Netanyahu hapa ilhali anajulikana anaua raia kimakusudi.
 
Kwa Hamas haikuthibitika,ICC ilimuumbua Netanyahu kweupeee.
Alipeleka hadi video ambazo ni edited akidai ni Alshifa hospital Hamas wanapatumia kuficha silaha.
Ila zikakaguliwa na kuonekana fake videos ni za kuundwa.
Msilete mambo ya Netanyahu hapa ilhali anajulikana anaua raia kimakusudi.
Kule nadhani Nentanyahu anachukulia wapalestine wote kuwa ni Hamas.
 
Okhmatdyt hospital iliyoko Kiev, ni moja ya hospitali kubwa Ulaya maalumu kwa ajili ya watoto wanaougua kansa.

Waliolengwa ni magaidi ya Ukraine waliokuwa wamejificha kwenye hospitali hiyo.

Ifike wakati Zelensky akubali kushindwa tu.

Before
View attachment 3036563


After
View attachment 3036564View attachment 3036565View attachment 3036566View attachment 3036567
View attachment 3036568
Putin amelaaniwa mno kwa huu unyama ila hapo Netanyau anatenda haya miaka yote hapo Gaza na Dunia ipo kimya tu.

Dunia imejaa viongozi wabinafsi, wauaji na wanafiki.
 
Back
Top Bottom