Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #61
Mkuu, usibweteke na hiyo propaganda ya Ukraine nanchi za magharibi.
Russia hawawezi kupiga makombora hospitali.
Hiyo hospitali imedunguliwa na makombora ya AD ya Ukraine yalokuwa yakijibu mapigo ya Russia na ndo yakadondokea kwenye hiyo hospitali.
Jeshi la anga la Russia likuwa na shughuli ya kuharibu mabohari yalosheheni silaha za akila aina zikiwemo za Strom Shadow.
Sema hilo eneo la viwanda au Industrial Complex lipo karibu na hiyo hospitali.
Pia wahandisi wa kigeniwalokuwa wakitayarisha silaha hizo wote wameuawa.
Wewe jibu lako liko wapi?Jibu swali mbona unakwepa na kuleta yasiyohusika. Lgbtq mbona unawapenda sana kuwataja taja uoni muhali.
waliomweka hapo wanasema bado, lengo lao ni 'russian strategic defeat'Hivi bado zele ana matumaini ya kushinda
Hi ni Patriot lime fail lakini US huwa hasemi yeye kafanya anazulia wengine.Hapo itakua kuna magaidi ya NATO yalijificha Putin huwa hakosei.
Kwa Hamas haikuthibitika,ICC ilimuumbua Netanyahu kweupeee.Kwahiyo ni hata Netanyahu ni sawa akipiga hospitals kwasababu Hamas wamo humo na wanaficha silaha?
Kule nadhani Nentanyahu anachukulia wapalestine wote kuwa ni Hamas.Kwa Hamas haikuthibitika,ICC ilimuumbua Netanyahu kweupeee.
Alipeleka hadi video ambazo ni edited akidai ni Alshifa hospital Hamas wanapatumia kuficha silaha.
Ila zikakaguliwa na kuonekana fake videos ni za kuundwa.
Msilete mambo ya Netanyahu hapa ilhali anajulikana anaua raia kimakusudi.
Wapigwe tu....This is poignant!
Putin amelaaniwa mno kwa huu unyama ila hapo Netanyau anatenda haya miaka yote hapo Gaza na Dunia ipo kimya tu.Okhmatdyt hospital iliyoko Kiev, ni moja ya hospitali kubwa Ulaya maalumu kwa ajili ya watoto wanaougua kansa.
Waliolengwa ni magaidi ya Ukraine waliokuwa wamejificha kwenye hospitali hiyo.
Ifike wakati Zelensky akubali kushindwa tu.
Before
View attachment 3036563
After
View attachment 3036564View attachment 3036565View attachment 3036566View attachment 3036567
View attachment 3036568