Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Ungeandika vita ya NATO na Russia sio Ukraine, Ukraine wanatumika tu kama uwanja ila kama wao hawana ubavu huo ni West na Russia, Mwisho wa siku walioumia ni Ukraine wameharibu maisha yao kwa maslahi ya wachache hasa UK wao nia yao kudhoofisha EU ili wao warudi juu na ushawishi kama walikuwa wanauchungua na EU wasingejitoa huko hawa UK ogopa sana wana fitna kama Simba na Yanga.
 
Hebu fafanua, mfano hii vita ya Ukraine inapochelewa kuisha Mtusi anaingiza vip pesa?
Bei ya mafuta na gesi zipo juu jamaa anapiga pesa
Bei za ngano zipo juu na unajua RUSSIA anauza sana ngano mashariki ya kati na afrika kwakiasi kikubwa
Jamaa kazorotesha usafirishaji wa mazao pale UKRAINE inamaana atakua anauza sana yeye nje kuliko UKRAINE ambae hana tena bahari yakusafirishia hayo mangano ngano nk
RUSSIA hakukurupuka aliposema anadeal zaidi na mashariki ya UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.

USA Anza Lia pesa za msaada aliye tenga kwenye vita zinanza Kwisha na dalili ametuma 150 million msaada wa silaha ndio wa chini kabisa.

Mrusi wafilisi hao wajue vita so Lele mama
 
Russia si kazuiliwa kuuza bidhaa zake nje, sasa anapigaje hela? Au me ndo sielewi
 
mrusi anakula hasara kwa kuuza vitu kwa bei ya chini ila wanaonunua akina China na India ndo wanalamba dume
 

Mkuu kwa akili yako yote tangu uzaliwe??

Vita inapiganiwa Nyumbani kwako , ardhi yako, yanabomoka majengo yako, watu wako na miundo mbinu vinaharibika na wanajeshi wako wanakufa bado useme Russia ndo kapoteza??
mwenzetu una kichwa kweli??

haya angalia hesabu ndogo

Hasara ya Ukraine = Jeshi + Raia + Miundo mbinu + Mazao na mifugo + Miji na makazi + siraha + Uchumi

Hasara ya Russia = Jeshi + silaha

Russia mambo yakiwashinda wanarudi kwao. Ukraine kwao kumeharibika, na kila kitu kinaanza upya kifupi hawana option
 
Uchumi ndio hasara kubwa, Russia uchumi wake hauwezi kuwa sawa Vita vikiisha.

Nchi yenyewe uchumi wake ni budget ya USA kwenye jeshi pekee kwa miaka mitatu[emoji16]

Nyongeza, Ukraine hana Cha kupoteza plus toka lini Russia akashindana na Ukraine.. Russia anataka kushindana na USA kitu ambacho hatokuja kuweza ikiwa uchumi wake utaendelea kushuka
 
Now ni ngapi haha
Mkuu, pesa iko string sana. Walichokifanya Russia ni kuishusha kidogo thamani kwa sababu kadri ilivyokuwa ikiimarika inakuwa mzigo mzito kwa serikali na wananchi. Kwa hiyo hapo ilipo iki vizuri sana. Jiulize ghafla tu ukiamka kesho ukuta usd 1 ñi sawa na Tshs 1000, unajua uchumi utayumba?

Swali ambalo nimeliina leo wachumi wengi huko majuu wanajadili: kwa nini benki za Russia hazifilisiki? Wenye uchumi imara mabenki yanakufa, wenye vikwazo kila kona benki zao ziko imara. Fuatilia PETRODOLLAR
 
Yaani hao akina mama na wazee ndio wamekomboa jimbo?? kuna wehu wengisana humu duniani
Mkuu nimecheka sana..hasa nikihusianisha huyo Mwalimu (Sir Albert) na kauli unazotoa..nikama yeye mwenyewe. Maana jamaa (Sir Albert) alikuwa na misemo ya ajabu sana.
 
Germany na Russia kila upande hunufaika na uwepo wa mwenzake. Ndiyo maana Germany hawana muda wa kukaza sana sababu wanajua itawaathiri wao pia.
 
Ni ngumu kumlaumu sana kwasasa kutokana na hari halisi ya Ukraine ilivyo na yeye ndiyo huiona "true colour ya Wagner" kwenye ardhi yake tofauti na media zilizo front line katika kupotosha.

Ingawa mapungufu yake nikwamba..tatizo lake hutaka kulifanya kuwa tatizo la ulimwengu mzima, ndiyo maana huenda mbali zaidi mpaka katika michezo hupenda kuliingiza tatizo lake.

 
SI KWELI
 
SI KWELI
 
Good summary,Sasa Kuna warusi weusi wanakuja subiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…