Kamuulize mu Israeli ni taifa gani linalompa kiwewe na kifadulo mashariki ya kati.Kumbe Iran sio underdog kihivo...mpaka anatoa elimu kwa the so called superpower??!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize mu Israeli ni taifa gani linalompa kiwewe na kifadulo mashariki ya kati.Kumbe Iran sio underdog kihivo...mpaka anatoa elimu kwa the so called superpower??!!!
No, I am the general and I said it need to be pointy to be scary"The shape of the missile top has nothing to do with aerodynamics. It is about the payload delivery."
Utaelewa tuKumbe kujifunza ni aibu sikuwahi kujua hili
HahahaWatu wakiwaambia jeshi la urusi ni sawa na jeshi la kongo mnabisha haya oneni sasa urusi wameanza kupashishwa na wakina abdala.
[emoji23][emoji23]Watu wakiwaambia jeshi la urusi ni sawa na jeshi la kongo mnabisha haya oneni sasa urusi wameanza kupashishwa na wakina abdala.
underdog !!!! Kati wale ni panya wa jangwaniKumbe Iran sio underdog kihivo...mpaka anatoa elimu kwa the so called superpower??!!!
[emoji23][emoji23]wachinjaji walienda machinjioni kuchinja Ngombe walipo fika wakakuta Ngombe wameshika Visu wanawasubiri wachinjaji.
ndicho kilichomkuta Andunje putin.
Then, do it yourself gen.No, I am the general and I said it need to be pointy to be scary
OK! You are fired....Guaards! shoot this man....Then, do it yourself gen.
Hiyo ni comedy fulani inaitwa the dictator. Nothing serious."The shape of the missile top has nothing to do with aerodynamics. It is about the payload delivery."
ndio akili yako ilipoishia kwenye kufikiri? kila Tech inahitaji kujifunza kwa mmiliki? je unajua kuwa juzi jumatatu Irani karushiwa satelaiti yake kwenye Orbit na Rocket ya Russia?Aibu sana kwa super power ,
Iran has begun training Russian officials to use its advanced drones, according to the Biden administration, the latest sign that Moscow plans to use Tehran’s military weapons to try to seize a new aerial advantage in Ukraine.
CNN
Huko ndiko kujifariji kunaitwandio akili yako ilipoishia kwenye kufikiri? kila Tech inahitaji kujifunza kwa mmiliki? je unajua kuwa juzi jumatatu Irani karushiwa satelaiti yake kwenye Orbit na Rocket ya Russia?
Mkuu kuna kakijiji chochote Ukreine alichokakomboa hadi tunapoongea?Huko ndiko kujifariji kunaitwa
Na Mimi nikuulize mmechuku mda gan had mmetekahivyo vimiji viwili kumbuka bado dombas yote hamjabebaMkuu kuna kakijiji chochote Ukreine alichokakomboa hadi tunapoongea?