Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hahahaaaaa. Dk 90 ndio zitaongea best.

Unaona umeshaanza kwamba mechi itakuwa ngumu. Kwa nini sasa na nyie ndio mnasema mnaujua mpira?
Nimesema itakuwa ngumu kidogo sababu belgium wapo vizur kiasi kwenye viungo na mashambulizi..
Brazil wapo vizuri kila idara japo kwenye ushambuliaji ni butu kiasi
Kwahiyo mwamba na mwamba wamekutana japo mwamba mmoja ni imara zaidi[emoji1054][emoji3]
 
Nimesema itakuwa ngumu kidogo sababu belgium wapo vizur kiasi kwenye viungo na mashambulizi..
Brazil wapo vizuri kila idara japo kwenye ushambuliaji ni butu kiasi
Kwahiyo mwamba na mwamba wamekutana japo mwamba mmoja ni imara zaidi[emoji1054][emoji3]
Hahahaaa. Kwa mbaali nimejitahidi kukuelewa best.

Haya tusubiri tuone.
 
Mechi za Robo fainali zipo nne lakini macho yote ni Belgium na Brazil,inaonyesha Bingwa wa WC 2018 atatoka hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…