DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,533
- 2,709
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mkeka ni wa kwako?
140k si mchezo
Sasa ndio patamu.Croatia wamechomoa
Nafikiri waingereza wanatumia hili goli kama garasa, kinachowauma ni lile goli la pili kuwapiga vyenga mpaka kambani. Ni aibu amayedai muasisi wa soka kuaibishwa namna ile. Khee kheeeee kheeeeeee.![]()
tujikumbushe muasisi wa goli la mkono.Huyu jamaa sijui kama anaweza pewa viza ya UK maana kwa alichowafanyaga...
Hapana sio wangu
Sasa ndio patamu.
Ila nimefurahia fair play ya mashabiki rasmi (Rais wa Croatia na Waziri Mkuu wa Russia), kila mmoja kampongeza mwenzake kila timu ilipopata goli. Wameonyesha uanamichezo wa hali ya juu. FIFA iwape zawadi kwa hili kama spirit hii itaendelea mpaka mwisho wa mchezo.Sasa ndio patamu.
Siku zote goli la kwanza ndio linalokuvunja nguvu na kumpa confidence mpinzani wako.Nafikiri waingereza wanatumia hili goli kama garasa, kinachowauma ni lile goli la pili kuwapiga vyenga mpaka kambani. Ni aibu amayedai muasisi wa soka kuaibishwa namna ile. Khee kheeeee kheeeeeee.
Kwenye mechi kama hii bus haisaidiiRussia wamefungwa goli la kizembe sana, mimi nilizani hapa kifuatacho ni bus.
Hata mimi nimependa, ndio maana halisi ya michezoIla nimefurahia fair play ya mashabiki rasmi (Rais wa Croatia na Waziri Mkuu wa Russia), kila mmoja kampongeza mwenzake kila timu ilipopata goli. Wameonyesha uanamichezo wa hali ya juu. FIFA iwape zawadi kwa hili kama spirit hii itaendelea mpaka mwisho wa mchezo.
Zamani tulikua tunasema beki imekula kinyesiHii beki ya Russia inacheza kizamani. Kule nyuma haina kuremba . Wananikumbusha enzi za uwanja wa Mabati Tandika, yaani kazi ya beki ni kuhamisha mpira au kutoa nje.
![]()
tujikumbushe muasisi wa goli la mkono.Huyu jamaa sijui kama anaweza pewa viza ya UK maana kwa alichowafanyaga...
Sina team kwakweli, nimebakia mtazamaji tu. Team yangu ishatoka.Unashabikia team gani?