Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hii game in favor Croatia kama ilivyo. Russia wanaonekana kulinda na kusubiri counter attack
Kwa muda uliobaki, ni mbinu hatari. Kocha ameona hilo na ana hofu
 
Nafikiri waingereza wanatumia hili goli kama garasa, kinachowauma ni lile goli la pili kuwapiga vyenga mpaka kambani. Ni aibu amayedai muasisi wa soka kuaibishwa namna ile. Khee kheeeee kheeeeeee.
hahaa hata hilo la mkono lingekataliwa,bado walikuwa wanapigwa, kulikuwa hamna namna nyingine ni kipigo tuu
 
Back
Top Bottom