Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Jaman sasa na wew madam unafuatilia mpira????? Hii sio haki kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mie namuona mzito,mpira anaucheza kibishoo.
Anajua kwa kiasi chake ila sio kwa sifa anazopewa.

Jana nimemind ile free kick aliyoenda kupopoa nayo maembe,angeachiwa mkali Griezman yangekuwa mengine.
Na nyie mnafuatilia mpira???? Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ile penalty ni sahihi kwa sababu mkono ndio ulikuwa wa kwanza kucheza mpira ambao ulikuwa unaelekea langoni mwa Spain na pia Mkono wa Pique ulikuwa on way kufuata mpira!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…