Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ukiushika mpira ukiwa unaangalia upande mwingine kamwe haiwezekani kuwa penalt. Mbeleko kwa mwenyeji hii.
Umesema kweli Mkuu,penalt hii inanikumbusha waliyopewa Iran vs Portugal.
Haikuwa sahihi kabisa