Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hakuna tim my ukhti nnayoipenda kama ARGENTINA..basi haikuwa bahati yetu. Na hata hivyo hawakuwa vizuri and coach amechangia kuivuruga timu.

Ningependa kati ya Belgium or Russia watwae πŸ˜›
Mm Argentina katoka,Japan naye kanila za uso Jana....,sahivi nimekaa kikimbizi...hawa France na Belgium walonitolea timu zangu ndo itabidi wawe opponents wangu....arghhh!![emoji35] [emoji35] [emoji1]
Brazil piga hao Belgium....
 
Waingereza na ndoto za IT'S COMING HOME!


Kwenye forums zao kama bbc huko hakukaliki. Yaani wanaamini kabisa sasa ni wao.
 
Hakuna tim my ukhti nnayoipenda kama ARGENTINA..basi haikuwa bahati yetu. Na hata hivyo hawakuwa vizuri and coach amechangia kuivuruga timu.

Ningependa kati ya Belgium or Russia watwae πŸ˜›
Mmh. Hapo kwa Russia sidhani Kaka.

Ila World Cup ya mwaka huu imekuwa tofauti mnooo huenda Russia akalitwaa na yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…