Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hata mimi nimeumia ila kocha ni mzembe,huyu Mbappe alishaonyesha kua ni threat toka mwanzo ila alishindwa kumfanyia marking! angewekewa hata midfielder mmoja atembee nae.
Argentina alikuwa keshamzimisha France ile siku....mm nilihamaki France anapataje 4 goals!!!! Timu inacheza mpira mbovu na kina Australia huko....Haka ka-mbappe walikaachia sana wakakasahau...Hii mechi ndo niliyompa Argentina uhakika wa kushinda....Sampaoli akaniangusha....Aguero siyo mchezaji wa kuanzia benchi hata kdogo....Higuain!!!????[emoji19] [emoji19] [emoji35]
 
Yaani mikeka mingi inachanika sababu unakuta yule anayepewa nafasi ndio huwa mtu anayepata taabu sana na hata ikitokea anapita basi inakuwa kwa taabu mnoo.

Mpaka sasa we team gani mdogo wangu?
Hahahaa mie Brazil na France aisee ndo ninazitegemea kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…