Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
WalizidiwaUbelgiji wamecheza vizuri ila ndo hivyo bahati haikuwa kwenye kichwa cha Lukaku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalizidiwaUbelgiji wamecheza vizuri ila ndo hivyo bahati haikuwa kwenye kichwa cha Lukaku.
Shukran sana mkuu[emoji16]Hongera,
Hahaha sasa mim nikinywa supu nataka na mengine hapo hapo shemPole sana shem darling,. Uje kunywa supu ya pweza asbh[emoji16][emoji23]
Mkuu Leo angalau nimesuuzika nafsi yangu,Hawa Belgium waliniudhi sana kumfunga Brazil,niliwambia Malipo hapa hapa Duniani
Usijali...hahahahaaHahaha sasa mim nikinywa supu nataka na mengine hapo hapo shem
Uko sahihi kabisa, Belgium hana ubavu wa kumfunga France, hii ilikuwa dhahiri kabisa.Belgium uwezo wao mdogo ukilinganisha na France.Brazil ubinafsi wa akina Neymar ndo uliifanya Belgium ing'are.
Hapa Kante hapa Pogba,Mbape ndani Griezman yupo unaanzaje kumfunga Ufaransa.Kilichoicost Brazil siku ile ni Kila mchezaji kucheza kivyake,Belgium ilikuwa ni ngumu Kwao Leo kupita,japo mechi ilikuwa ngumuWachambuzi wa mpira bongo ni waongo sana, hawajui kuchambua, wanachojua ni kukariri historia ya mpira tu. Mchambuzi anayeaminiwa kabisa amekaa kwenye TV halafu anasema Belgium anaweza kumfunga France.
Japo Belgium ni timu nzuri, lakini kwa aina ya mchezo wao ilikuwa ni dhahiri wanafungwa ukilinganisha aina ya mchezo wanaocheza France.
Tukutane kesho.
Nilisema mapema sana, tangu jana, fuatilia comments zangu humuUchambuzi huu ulitakiwa utolewe kabla ya mechi. Kwa sasa....inabaki" simumeona nilikuwa nawaza hivyo hivyo!"
Nipe haki yangu na mimi.Shukran sana mkuu[emoji16]
Croatia mechi za Karibuni amekuwa anapata Taabu sana sijui kesho atashindajeTusubiri hiyo kesho, sioni namna anaweza shinda
Oh,.[emoji28]pole saana,.pole mnoo[emoji8][emoji8]Nipe haki yangu na mimi.
Wanasema goli la beki Huwa halirudi (Kiimani zaidi)Umtiti
Si ana kadi mbili huyu
Kabisa mkuu Mie nilikuwa Ufaransa Kwa Sababu ya Brazil.Hongereni mkuu.
Wengi mnaosupport France ni kwasababu ya Brazil.
Pole!? Nitake radhi.Oh,.[emoji28]pole saana,.pole mnoo[emoji8][emoji8]