Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
wampe muajemi zifanyiwe mafekecheKimeumana
Wamejiunga ulaya yote japan na Australia na marekani ila mwanaume urusi bado anawaoshea vibaya mnoo.Hao magharibi zao ni propaganda tu,hawana lolote,kwa urussi ni wachumba tu.
Haziuzwi zinawekwa makumbusho kwaajili ya vizazi vijavyo.Watuuzie kwa mkopo huku SHITHOLE COUNTRIES..
Silaha Ukraine ilizopata kutoka Japan, Australia na Korea Kusini nazo zitaonyeshwa?Wamejiunga ulaya yote japan na Australia na marekani ila mwanaume urusi bado anawaoshea vibaya mnoo.
Korea kaskazini siyo mshirika wa NATO , Japan na Australia ni partners wanatoa fedha nyingi kununua silaha kwaajili ya UkraineSilaha Ukraine ilizopata kutoka Japan, Australia na Korea Kaskazini nazo zitaonyeshwa?
Korea Kusini na Australia wamepeleka silaha kabisa.Korea kaskazini siyo mshirika wa NATO , Japan na Australia ni partners wanatoa fedha nyingi kununua silaha kwaajili ya Ukraine
Subiri zitaoneshwa kadiri zinavyokamatwa jana ndio maonesho yameanza.Korea Kusini na Australia wamepeleka silaha kabisa.
Kwa hiyo jana wameanza kuonyesha za magharibi kwanza?Subiri zitaoneshwa kadiri zinavyokamatwa jana ndio maonesho yameanza.
Korea na Australia nao ni wa magharibi "ideologically "Kwa hiyo jana wameanza kuonyesha za magharibi kwanza?
Vipi kuhusu za Uturuki?Korea na Australia nao ni wa magharibi "ideologically "
Sina taarifa zakeVipi kuhusu za Uturuki?
Kuna wanajeshi wangapi wa ulaya kule Ukrain?Wamejiunga ulaya yote japan na Australia na marekani ila mwanaume urusi bado anawaoshea vibaya mnoo.
Urusi hana lolote ni joka la kibisa tu.Hao magharibi zao ni propaganda tu,hawana lolote,kwa urussi ni wachumba tu.
Ulaya na marekani kwa sasa wanatoa silaha na dollar putin anazipiga kiberiti japo mamluki wapo anawachoma kimya kimya tu .Kuna wanajeshi wangapi wa ulaya kule Ukrain?