Ruto ana funzo kwetu dhidi ya walamba asali

Ruto ana funzo kwetu dhidi ya walamba asali

Hili funzo la Kenya naona tumelipata lakini mazingira yetu bado yanatubana tusifanye mambo yetu kwa upana ule waliofanya wakenya.

Wale jamaa siasa zao naona zimepiga hatua kulinganisha na hizi zetu, sisi bado tunatakiwa kujisogeza angalau tufikie pale walipo wakenya.

Kujisogeza huko ili funzo la Ruto liwe applicable kwetu, kwanza naona lazima tuwe na tume huru ya uchaguzi, au ikibidi Katiba Mpya [Rasimu ya Warioba]. Tukishaipata hii tume/Katiba basi hapo ndipo tuanze kuwa na tumaini.

Lakini kuendelea kuwategemea hawa wanasiasa wetu ambao licha ya kuungwa kwao mkono na wapiga kura wengi [refer Lissu 2020] tatizo letu bado maamuzi ya wapiga kura hayaheshimiwi kwenye sanduku la kura, hivyo sioni kama funzo la Ruto litakuwa na impact kwetu.

Funzo nilionalo kwa Ruto ni kwenye kuwaunganisha watu dhidi ya establishment. Hii ni jitihada yenye ku transcend party politics.

Umoja kama huo ndiyo utakaotupa katiba mpya, tume huru, uchaguzi wa haki na hatimaye kuheshimiwa kwa kura za watu.
 
Hakuna aliye mkamilifu. Hakuna asiye na kasoro. Hakuna asiyekuwa na jema au mapungufu.

Kwamba Raila hana au hakuwa na mema? Kwamba Ruto hana mapungufu?

Hatuwezi kujifunza mema kwa watu tukayaacha mapungufu yao?

Raila katika mema yake ni pamoja na kupatikana kwa katiba madhubuti iliyomfikisha kila mkenya akiwamo Ruto alipo leo.

Kwamba Ruto kuna mapungufu yake mengi yajulikanayo? Hakutusimamishi bado kujifunza kwake dhidi ya walamba asali.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Sielewi unachomaanisha, haujibu swali kwa nini Mbowe hakwenda kukutana na Ruto? Mbowe ni team Raila na Uhuru, na huu uchaguzi wameangukia pua, ila sasa hivi mnataka kuanza kujipendekeza kwa Ruto kwa sababu kashinda na Dunia nzima inamuongelea kabla ya hapo hamkujali chochote kuhusu Ruto, ninyi ni wanafiki kama Raila na ndio maana hamfiki popote kisiasa kwani mmezoea Unafiki, Majungu na Fitina na mtaishia hivyo hivyo tu kubadilika kama malaya bila ya msimamo, you are not real!
 
Sielewi unachomaanisha, haujibu swali kwa nini Mbowe hakwenda kukutana na Ruto? Mbowe ni team Raila na Uhuru, na huu uchaguzi wameangukia pua, ila sasa hivi mnataka kuanza kujipendekeza kwa Ruto kwa sababu kashinda na Dunia nzima inamuongelea kabla ya hapo hamkujali chochote kuhusu Ruto, ninyi ni wanafiki kama Raila na ndio maana hamfiki popote kisiasa kwani mmezoea Unafiki, Majungu na Fitina na mtaishia hivyo hivyo tu kubadilika kama malaya bila ya msimamo, you are not real!

Uchaguzi wa Kenya haujaamriwa. Hadi wa sasa hayupo aliyedhahiri kuchukua nchi.

Nini usichoelewa katika nilichoandika?

Kwani Ruto ni malaika? Au Raila ni shetani? Hatuwezi kujifunza na kuchukua yaliyo ya kufaa toka kwa watu wote?

Ruto ni mfano mzuri kwenye kuwakataa walamba asali nyie.

Raila ni mfano mzuri kwenye kupigania katiba muafaka dhidi ya walamba asali nyie.

Hatupoi hatuwataki walamba asali na tozo zenu nyie.

Habari ndiyo hiyo.
 
Uchaguzi wa Kenya haujaamriwa. Hadi wa sasa hayupo aliyedhahiri kuchukua nchi.

Nini usichoelewa katika nilichoandika?

Kwani Ruto ni malaika? Au Raila ni shetani? Hatuwezi kujifunza na kuchukua yaliyo ya kufaa toka kwa watu wote?

Ruto ni mfano mzuri kwenye kuwakataa walamba asali nyie.

Raila ni mfano mzuri kwenye kupigania katiba muafaka dhidi ya walamba asali nyie.

Hatupoi hatuwataki walamba asali na tozo zenu nyie.

Habari ndiyo hiyo.

Walamba asali ni chadema Mbowe na Tundu Lisa atleast labda kama haujauelewa huo msemo, hakuna mtu aliyenuifaika na Utawala wa Samia kama Viongozi wa chadema Mbowe, Tundu lisu au Zito Kabwe na ndio maana hata wameacha na Upinzani wenyewe!
 
Walamba asali ni chadema Mbowe na Tundu Lisa atleast labda kama haujauelewa huo msemo, hakuna mtu aliyenuifaika na Utawala wa Samia kama Viongozi wa chadema Mbowe, Tundu lisu au Zito Kabwe!
Chadema Mbowe na Lissu ndiyo wanaorithishana utawala wa nchi na kuturundikia utitiri wa tozo hadi benki?

Sayari ulikotokea hawajambo ndugu?
 
Chadema Mbowe na Lissu ndiyo wanaorithishana utawala wa nchi na kuturundikia utitiri wa tozo hadi benki?

Sayari ulikotokea hawajambo ndugu?

Ndiyo, ni sehemu ya mfumo wa Utawala uliopo, ni wanufaika wakuu wa Utawala wa sasa hivi, na ndiyo maana wameacha Upinzani!
 
Ndiyo, ni sehemu ya mfumo wa Utawala uliopo, ni wanufaika wakuu wa Utawala wa sasa hivi, na ndiyo maana wameacha Upinzani!
Acha wanufaike waliteseka Sana utawala uliopita
 
Walamba asali wamejisahau. Wamedhani sisi tunayo furaha mno wao na familia zao wakiendelea kujimilikisha nchi na kujineemesha.

Tozo hizi wanazo turundikia sisi, zina ridhaa gani nasi?

Ruto na jamii ya Wakenya iliyochoka mno na madhila kama ya kwetu, ilisimama imara vilivyo kuwakataa walamba asali wa namna hii:

View attachment 2329076

Kujizatiti kupata utawala wa haki na usawa kwa hakika inawezekana.
Hujui usemalo. Ruto sio tu mlamba asali bali mchonga mzinga kabisa.
Huyu hadi muda huu ni Naibu rais uaani makamu wa rais, hioni anaogelea asali kabisa?
 
Na hili ndio kosa chadema wanataka kulifanya, kujikomba kwa mama Samiah kwa uongo wa maridhiano. Shauri zao. Wajitenge mapema na mama Samiah hana jipya kwao, atawazungusha na baadae kuwatosa wabaki wanalia. CCM haijawahi kuipenda CHADEMA hata siku moja. Mtu wa karibu amshauri Mbowe.
Sijui Mbowe ametishwa?
Hata mimi simuelewi kabisa.
Namshauri Lissu ajitenge mapema
 
Nani kakuambia Ruto alikuwa alambi asali
Nani kasema Ruto hakuwa akilamba asali? Mpango uliokuwapo wa kumwengua kundini kumepelekea anguko lao.

Kwa hakika amepambana nao na walipo sasa wanapumulia mashine.
 
Kenya wametuacha mbali sana
Hili funzo la Kenya naona tumelipata lakini mazingira yetu bado yanatubana tusifanye mambo yetu kwa upana ule waliofanya wakenya.

Wale jamaa siasa zao naona zimepiga hatua kulinganisha na hizi zetu, sisi bado tunatakiwa kujisogeza angalau tufikie pale walipo wakenya.

Kujisogeza huko ili funzo la Ruto liwe applicable kwetu, kwanza naona lazima tuwe na tume huru ya uchaguzi, au ikibidi Katiba Mpya [Rasimu ya Warioba]. Tukishaipata hii tume/Katiba basi hapo ndipo tuanze kuwa na tumaini.

Lakini kuendelea kuwategemea hawa wanasiasa wetu ambao licha ya kuungwa kwao mkono na wapiga kura wengi [refer Lissu 2020] tatizo letu bado maamuzi ya wapiga kura hayaheshimiwi kwenye sanduku la kura, hivyo sioni kama funzo la Ruto litakuwa na impact kwetu.
 
Hujui usemalo. Ruto sio tu mlamba asali bali mchonga mzinga kabisa.
Huyu hadi muda huu ni Naibu rais uaani makamu wa rais, hioni anaogelea asali kabisa?

Walamba asali ni wenye mamlaka yao. Wamehodhi madaraka ya nchi. Ni nia yao waendelee kutawala wao tu vizazi kwa vizazi.

Ruto alikwisha pigwa chini kama outsider. Kapambana na state machinery yote dhidi yake.

Kwamba hili linawezekana wenye tozo zao salamu ziwafikie.
 
Back
Top Bottom