Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruto ni chama tawala mkuu sio mpinzani
Chama tawala Kenya ni Jubilee. Hicho na kina Raila walikuja na muunganiko mwingine "Azimio la Umoja."
Ruto na "Kenya Kwanza" hakuwa huko. Walipo sasa watawala wameshindwa. Kenyatta kama kinara wao huyu hapa anaombwa avunje ukimya:
hio picha walipiga kabla odinga hajakengeuka na kusema ataongoza kenya kama dikiteta magufuli endapo atashinda na alipokengeuka tu sisi wapenda haki tukamtupilia mbali na hatakuwa rais tena mpaka kifo chake kumbe naye ni dikteta
Post #27 uliiona? Msingi wa mada ni elimu si usafi.Kwamba Ruto ndio msafi ?
Kama bado unaamini wanasiasa, all the best....
Hapo ni Different Script same Cast...
Uelewe tofauti ya kukariri na kunukuuendelea kukariri
Tayari nimevimbiwavipi mbwiga wa ccm walamba asali haujavimbiwa asali maana kodi na tozo zetu mnalamba asali.
Wewe ni lcumamtajaribu kutwist kila kiuno lakin babayenu odinga aliyesema ataongoza kama dikiteta magufuli wakenya walimshtukia wakampiga chini.