Kenya 2022 Ruto aonekana mwenye Furaha muda muda wote anatabasamu

Kenya 2022 General Election

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Jioni ya leo, Mgombea Urais wa Kenya Ruto, ameonekana mwenye tabasamu muda wote. Ni baada ya kukutana na Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Agosti 9, 2022. Nini siri ya hili tabasamu?
 
Nilishasema humu na narudia. Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua. Narudia Tena Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua.

Magonjwa Mtambuka kajekudya Nyamizi
 
Nilishasema humu na narudia. Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua. Narudia Tena Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua.

Magonjwa Mtambuka
Nyamaza wewe luto anachezewa mchezo hapo subili mwisho wake unavutia[emoji16]
 
Kabla haujajiua hakikisha unaniachia Figo mbili nikauze .
Nilishasema humu na narudia. Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua. Narudia Tena Raila Odinga akishinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiua.

Magonjwa Mtambuka
 
Raila Amolo Odinga ameshinda na tayari amewaita jamaa zake wote kuwapongeza. Sasa nangoja utimize ahadi😂
 
Very soon tutaona pumbu za mvuta bangi zikining'inia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…