Kwa akili ya haraka haraka yes Maandamano yanarudisha nyuma nchi lakini RAILA ODINGA ni tatizo kwa kenya.
Yes kuna mambo aliyapigania hapo nyuma wakapata katiba mpya lakini kwa wakati huu alitakiwa kumuunga mkono RUTO ili aiongoze Kenya kwa amani.
ODINGA anafanya fujo ili akipigwa aitwe IKULU iapate kitu yale yale ya UHURU na ODINGA..
KAMA RUTO atanyamaza asiwapige waandamanaji ndani ya wiki mbili wao wenyewe watachoka kwa sbb ya njaa.
Huwezi kuacha kazi yako kila siku upo barabarani bila sababu. Ni kweli vitu vimepanda bei lakini nchi nyingi zimeadhirika na vita ya UKRAINE NA RUSSIA
Kwa hiyo RAIS RUTO akae kimya aendelee na mambo yake wataacha soon wenyewe.
Pia haya maandamano yanatuadhiri pia Tanzania. Watalii wengi hupitia KENYA kuja Mlima Kilimanjaro
Yes kuna mambo aliyapigania hapo nyuma wakapata katiba mpya lakini kwa wakati huu alitakiwa kumuunga mkono RUTO ili aiongoze Kenya kwa amani.
ODINGA anafanya fujo ili akipigwa aitwe IKULU iapate kitu yale yale ya UHURU na ODINGA..
KAMA RUTO atanyamaza asiwapige waandamanaji ndani ya wiki mbili wao wenyewe watachoka kwa sbb ya njaa.
Huwezi kuacha kazi yako kila siku upo barabarani bila sababu. Ni kweli vitu vimepanda bei lakini nchi nyingi zimeadhirika na vita ya UKRAINE NA RUSSIA
Kwa hiyo RAIS RUTO akae kimya aendelee na mambo yake wataacha soon wenyewe.
Pia haya maandamano yanatuadhiri pia Tanzania. Watalii wengi hupitia KENYA kuja Mlima Kilimanjaro