zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
RAILA hawezi kufungwa!! Kama aliapishwa hakupewa kesa ya uhaini, walichinjana 2007 mbona hakufungwa?Hawezi kuanzisha fujo maana anajua atamalizia,Maisha yake jela kwani lazima atapelekwa The Hague (ICC). Nchi za,magharibi ambazo zimekita mizizi yake ya investment kenya haziwezi kukubali wasiendelee kunufaika kwa sababu ya tu mmoja.
RAILA akifungwa au kuuawa ndio utakua mwisho wa Kenya kutawalika, itakua vita isiyoisha ya kikabila. Kama ingekua rahisi hivyo Wakikuyu wangeshamuua tokea enzi za Moi huko.