Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP
-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION
-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.