Ruto kaachiwa jumba bovu

Ruto kaachiwa jumba bovu

Alafu viongozi wenzake wamemgeuka yaani ni kama wamemuacha peke yake tu!
Kama vijana watakaza zaidi wanaweza kumuondoa kwa shinikizo la kumtaka ajiuzuru..
Siku zote

Mazuri yetu sore

Mabaya ya kwako mwenyewe
 
Uhuru Kenyatta is very happy on what is going on in Kenya 🐒

aliwahi kusema na kusisitiza mara kadhaa kwamba Rais wake ni Raila Odinga na si vinginevyo.

Lakini kumbuka pia vijana hawa hawa, ikasemekana wanapewa nguvu na wakiwa nyuma ya naibu wa Rais wa sasa ndugu RigG, walichochewa kuvamia shamba la Uhuru Kenyatta, kuharibu mazao, kuiba na kupora mali mbalimbali kama vile kondoo, mbuzi, bata, kuku n.k mali ya familia ya Uhuru kwahivyo kinachotokea ni kama vile anafurahi,

na angependelea mambo yaende zaidi yalivyo, ilikusudi mali na biashara za Ruto nazo zifikiwe, ziporwe na kuharibiwa zaidi kama vijana walivyofanya kwake 🐒
🤔🤔🤔🤔🤔

Karma at its best
 
Huwezi ongoza nchi kwa aman ikiwa rais mstaafu hauelewani nae hata yule bwana yalimkuta hayohayo kule cuba kujifanya kukaza fuvu

Lakini ruto mchezo anauelewa ngoja tuone japo ana kibarua kizito maana kwa sasa hata naibu wake anaucheki mchezo kwa mbali hatii neno
🤔🤔🤔🤔
 
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Zambia,Ghana na Ethiopia wao wamefanyaje? Kwani hawajafika huo ukomo? Harafu Kuna shida gani kuongeza ceiling ya ukomo? Mbona Nchi nyingi zinafanya hivyo? Angola hapo deni ni 130% ya GDP.

My Take: Hilo jumba bovu amelijua Sasa hivi baada ya Kushindwa vibaya? Haya hakuyanua wakati anaba kura? 🤪🤪🤪🤪

Kama huna akili usiombe Uongozi na usiwajaze watu matarajio ambayo hayapo.

Ndio maana namkubali Samia ,alishakataa kuwapa watu matarajio ambayo hayapo na pia aliwaambia alipokea jumba bovu kutoka Kwa Mwendazake ila mlikaza shingo.
 
Alikua makamu wa Raisi kila kitu alikijua tamaa yake ya madaraka ndio inamtokea puani lakini hata huku yawezekana kabla hata ya uchaguzi wa mwakani chura kiziwi akawa amepita kiwango cha kukopa na hakuna cha msingi anacho fanya
Yeye kuwa makamu wa raisi hawezi kumzuia raisi asikope. Huenda aliamshauri njia zingine ila hakusikilizwa. Je, angefanya nini zaidi?
 
Ruto yuko sawa. Yeye anaataka deni wanalodaiwa lipungue na ili lipungue sharti wananchi walipe kodi. Yuko sawa kabisa.
Kama matokeo ya kukopa ndo hayo ya kuwakamua wananchi basi serikali isiwe inakopa maana hayo ni matokeo ya kuwa mikopo iliyokopwa haikuwa na tija katika kuzalisha na kuleta maendeleo kwa wananchi kinyume chake ni kuwa mafisadi ya serikalini yamejichotea fedha za umma matokeo yake ndo hayo
 
Ruto kila siku kiguu na njia anatumia pesa nyingi kwa safari zisizokuwa na maana,
Punguza matumizi ya Serikali ndio suluhisho zuri na sio taxation
 
Yeye kuwa makamu wa raisi hawezi kumzuia raisi asikope. Huenda aliamshauri njia zingine ila hakusikilizwa. Je, angefanya nini zaidi?
Nilicho maanisha ni kwamba alijua anaenda kuchukua nchi ikiwa kwenye Hali gani na tangu mwanzo alionekana alitaka zaidi madaraka bila ya kujua atafanya nini baada ya kuyapata
 
Dawa ni ku-Cut spending zisizo za lazima, mfano

1.) kutofanya safari za nje, badala yake atume balozi na ashoriki kwa video conferencing

2.) Kutonunua mashangingi mapya kila mwaka, badala yake yakarabatiwe yaliyopo yawe katika hali nzuri, na kila mtumishi aweke mafuta mwenyewe ili kupunguza matumizi, mtumishi atakayeshindwa apande daladala na ahalikisje hachelewi kazini

3.) Kubana mianya ya wizi wa pesa za kodi za serikali

Inshort Serikali iwe ‘Frugal’ kwenye matumizi ya pesa, na pia ibane upotevu na wizi
Mkuu usichukulie urais ni kama civil engineering 😆😅🤛🏿
 
Wakiwa kwenye kampeni wanawaza starehe na kuiba tu. Wanawadanganya wapiga kura eti wataleta pepo duniani

Angalizo kwa lissu asithubuti wapa ahadi hewa vijana na atamani kile kiti kwa Nia ya kuwatumikia watu siyo kuiba kamaruto

Ccm wamefika mwisho, watajifanya waungwana wamwachie mpinzani jumba bovu kama ruto. umakini unatakiwa
point
 
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake

-Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP

-Njia ya Dharura ni Kuifinance GVT TAXATION

-Jarbu kuvaa viatu vya RUTO Kama mkuu wa Nchi
Ungefanyaje.
Nitawambia wananchi ukweli kwamba tunafunga mikanda Kwa muda unajulikana, mfano tunafunga mkanda Kwa muda wa miaka2
 
Zambia,Ghana na Ethiopia wao wamefanyaje? Kwani hawajafika huo ukomo? Harafu Kuna shida gani kuongeza ceiling ya ukomo? Mbona Nchi nyingi zinafanya hivyo? Angola hapo deni ni 130% ya GDP.

My Take: Hilo jumba bovu amelijua Sasa hivi baada ya Kushindwa vibaya? Haya hakuyanua wakati anaba kura? [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Kama huna akili usiombe Uongozi na usiwajaze watu matarajio ambayo hayapo.

Ndio maana namkubali Samia ,alishakataa kuwapa watu matarajio ambayo hayapo na pia aliwaambia alipokea jumba bovu kutoka Kwa Mwendazake ila mlikaza shingo.
Samia 2025
 
Back
Top Bottom