Ruto kajifunza Maridhiano the hard way, nasi hatuna budi

Hahahahaha kuolewa na Wanajeshi??
Eeh kwa akili hizi na uoga sijui tunatengeneza kizazi gani huko mbeleni. Watu hawataki kusimamia haki zao na kupambana kuzipata wanataka wapambaniwe.

Watu wa aina hio wana tofauti gani sasa na wanawake wanaotegemea kuolewa ili walishwe? 🤣
 
Eeh kwa akili hizi na uoga sijui tunatengeneza kizazi gani huko mbeleni. Watu hawataki kusimamia haki zao na kupambana kuzipata wanataka wapambaniwe.

Watu wa aina hio wana tofauti gani sasa na wanawake wanaotegemea kuolewa ili walishwe? 🤣
Ndio maana vijana wanakimbilia kwenye ushoga...inafikirisha sana
 
Kinachotokea sasa, ni tofauti mno na mtazamo wa Ruto na tambo za Rigathi. Dirisha la mazungumzo limefunguliwa. Muhimu zaidi, aliyeomba ni Ruto. Kisha Raila akapokea. Rigathi akampongeza bosi wake kwa uamuzi wake wa busara.
 
walijuaje kuwa makomando wanaenda muua Sabaya? na uthibitisho ni upi kuwa Mbowe kawatuma ? kwamba Makomando ndo wakunywa pombe kwanz kabla ya kufanya mission yao ? ( kwa common sense sidhan Commando anaeza kuwa hivyo labda unifungue ubongo kdg )
 

Mkuu ulichoandika hapa ni kituko.

Kwamba Kenya inatawaliwa kimajimbo? Kwamba Kenya inatawaliwa kikabila? Kwamba Ruto kafikishwa kwenye maridhiano haya ya dhati na kabila?

Kwamba kina Uhuru, Karua, Musyoka nk wanaomuunga mkono Raila wote ni wajaluo?

Waandika ukitiririka tu bila source, facts, Wala uhalisia kutokea ofisi ipi hapo Lumumba mkuu?
 
Raisi wa Venezuela.
 
Hakuna lolote, nchi hii ni ya majoga baada ya kulishwa ushirikina wa mwenge wa uhuru. Athari za siasa za ujamaa ziko hadi leo, na ndio zilizotumika kusimika ujinga na uoga. Hali hii imepelekea kupatiwa viongozi wasio na uhalali wa umma kupitia chaguzi za kishenzi, na fedha za umma zinaweza kuporwa na wananchi wasifanye lolote, ukiuliza huu ukondoo ni Wanini, utasikia sisi hatuna ukabila kama Kenya.
 
Crap from a hypocrite.
 
Eeh kwa akili hizi na uoga sijui tunatengeneza kizazi gani huko mbeleni. Watu hawataki kusimamia haki zao na kupambana kuzipata wanataka wapambaniwe.

Watu wa aina hio wana tofauti gani sasa na wanawake wanaotegemea kuolewa ili walishwe? [emoji1787]
Unajua wazungu mara nyingi hufikiria na kuona mbali na kuja na plan or call it vision itakayofanya kazi, nafikiria wamejaribu kutuelimisha ili tuchague serikali makini lakini imeshindikana sasa ndipo wakaja na plan B ya kutujengea kwanza ujasiri wa kiakili na kimoyo wa kumwinamisha ngosha mwenzio bila kujali misuli yake na hapa wameingiza mipesa mingi tu ili tuweze kuwa na uthubutu wa kufanya lolote , hebu fikiria hiyo theory kama sio kweli basi jiulize kwanini wanagharamia kwa nguvu zote huu ushoga na mwisho patakuwa na kitu gani?
 

Atakuwa nduguye na kina joni huyo. Yaani Lumumba style. Kwamba ni mlamba asali, mhuni au kijana wa hovyo.
 

Mzungu anatoa pesa kufanikisha uwepo wa demokrasia na haki za binadamu.

Ushoga ni kipengele kimoja tu kwenye haki za binadamu.

Hivi watu na yao miili yao au yoyote faraghani inatuhusu vipi wengine tusiohusika?

Kwamba mtu anaongelea demokrasia na haki za binadamu aache vipi kutambua uwepo watu wa mapenzi ya jinsia moja kama wao wanadai kuwa wapo?

Suala la mapenzi ya jinsia moja linakuzwa na madikteta wenye malengo ya kuzima harakati zote za kudai demokrasia na haki za binadamu. Hawa wakiwatumia mashoga kama kisingizio tu kwenye juhudi zao hizo uchwara.
 

Tuko wote duniani hapa ndugu?

1. Kwamba Mbowe alisamehewa na Rais Kwa huruma yake? Unayapata wapi haya?

2. Kwamba Sabaya kesi zake zote zimesikilizwa Hadi mwisho akashinda? Uliyasikia au hata kuuyaelewa ya plea bargaining? Au upo kujifurahisha kutype type tu ndugu?

3. Kila unaoitwa ushahidi kwako humtia mtu hatiani? Kwani mashahidi hawa ni miungu?

Kwa bandiko lako hili unayo nafasi ya mbele kabisa katika orodha iliyotambuliwa na Dkt. Mollel:

 
Hatuna wapinzani imara, tunhepata Lisu 5, Lema 5, Heche 5 mbona nchi ingenyooka?
 
Hatuna wapinzani imara, tunhepata Lisu 5, Lema 5, Heche 5 mbona nchi ingenyooka?

LIssu 1 tu tunatosha sana mkuu. Kumbuka ilivyo LIssu anapotimba nyumbani:



Mbona Maalim Seif 1 tu alikuwa anatosha?

Hata Kenya wana Raila 1 tu.

Tunakosa mtu aliyedhamiria 100% kama kiongozi. Tunahitaji wenye hofu mbele watupishe.

Watu waliodhamiria 100% wapo ila wafanye nini kutokea wapi?

Cc: Zawadini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…