Ruto kajifunza Maridhiano the hard way, nasi hatuna budi

Hatuna wapinzani imara, tunhepata Lisu 5, Lema 5, Heche 5 mbona nchi ingenyooka?
Hata kama tungekuwa nao Lissu 10, Heche 10...

Lakini kama sisi wengine tutaendelea kujifungia ndani, hakuna lolote la maana litakalobadilika..

Wale wanaoandamana kule Kenya hawahitaji Raila 3, wala Martha Karua 2, all they need ni kauli toka kwa Raila mmoja pekee, kisha wanaingia barabarani.
 

Ninakazia: wanajitahidi kauli au msimamo wa Raila tu. Kimoja katika viwili hivyo.

"Kwamba wanataka tear gas!"

Hiyo ni level nyingine.
 
Whitewash nchi haiwezi kuendelee kwa kuendekeza wapinzani njaa kama Odinga. Ruto anammaliza Odinga kisiasa once & for all. Demokrasia Afrika ni biashara.
Ruto anaendelea kusisitiza upinzani ufanye kazi yake na serikali ifanye kazi yake, hakuna suala la kukaa pamoja mezani kati ya serikali na upinzani ili kuletea wananchi maendelea. Leo hii mbowe yuko ndani ya Serikali kuna lolote la maana lililotokea??
 
Mkuu jambo muhimu ni hamasa tu.
 

Ruto katoka Kigali na ushauri mpya toka kwa tolu.



Mwone alivyopauka hapo. Hizo kauli ngumu ngumu ni for PR use only.



Ngoja apewe mrejesho.

Your browser is not able to display this video.


Watu wanataka tear gas. Hawatanii hao.
 
Unaenda kuandamana na mtu ana VIP health Insurance akiwa ndani ya V8 yake anakula kiyoyozi. Huko sio kuandamana ni utumwa na kutumika vibaya kutimiza malengo ya watu binafsi.
 
Unaenda kuandamana na mtu ana VIP health Insurance akiwa ndani ya V8 yake anakula kiyoyozi. Huko sio kuandamana ni utumwa na kutumika vibaya kutimiza malengo ya watu binafsi.

Insurance tena? Watalebani wakipigania ukombozi kauli mbiu ilikuwa "kuwa tayari kufa kuliko adui anavyotaka kuishi."
 
Insurance tena? Watalebani wakipigania ukombozi kauli mbiu ilikuwa "kuwa tayari kufa kuliko adui anavyotaka kuishi."
Walikua wanaongoza mapambano wakiwa kwenye V8s zenye full A/C?
 
Unaenda kuandamana na mtu ana VIP health Insurance akiwa ndani ya V8 yake anakula kiyoyozi. Huko sio kuandamana ni utumwa na kutumika vibaya kutimiza malengo ya watu binafsi.
Naona kama post # 18 inakuhusu.
 
PR kabla na baada ya uchaguzi.?? Hakuna handshake, ujumbe ni mmoja tu majadiliano yote yanafanyika kupitia Bunge hutaki rudi mtaani uendelee kula teargas.

Raila ameonywa kuwa 2027 anaweza akakosa hata agents sio kura tu
Raila hataki handshake kabla na hata baada ya uchaguzi.

"Teargas wananchi wanasema wanataka sana hizo."

Zingatia Kenya si Tanzania ambako waziri ana uthubutu wa kusema mambo ya kuhamia Burundi kwa raha zake:

"In view of the foregoing, we stand down our demonstrations for Monday but in doing so we want to emphasise that we reserve the right to call for demonstrations should this process bear no fruit. Should there be no meaningful engagement or response from Hon Ruto to our counter-offer, we’ll resolve to resume our demonstrations after one week."

Habari ndiyo hiyo.
 
Hahahahah wahuni tu hao jamaa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ huo ujasiri au upumbavu? A human mind is a powerful thing ukiweza kuitwist tu basi umefanikiwa kuharibu future ya mtu.
 
Walikua wanaongoza mapambano wakiwa kwenye V8s zenye full A/C?

Mapambano ni jukumu la vijana wa maana, siyo wazee wala wale vijana wa hovyo:

Hao ndiyo wenye jukumu la kuwafurusha polisi na kuzuia viongozi kukamatwa.



Raila hata asingekuja kabisa kwenye maandamano ilikuwa sawa kabisa. Kwa vile kaja, jukumu namba 1 la wapambanaji ni usalama na comfort yake.

"Haya hayawezi kuwahusu walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo."

Hayo ndiyo marupurupu ya wazee wote watakaokuja kwenye harakati za mapambano yote kama haya.

Wazee tutawalinda Kwa gharama ya damu zetu. Hakuna jipya hapo.

Habari ndiyo hiyo.
 

wapambanaji au sio πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ unampambani usiyemjua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…