Ruto kampa live Raisi Samia na demokrasia fake

Ruto kampa live Raisi Samia na demokrasia fake

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano

Niongezee hili la imani

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 

Attachments

  • f0019216-82cd-4c3a-a729-8edfaf5543e2.mov
    7.4 MB
Shida yetu ni moja.

Mradi keshaweka headline yake.

Sasa sijui shida yetu ni bando, au uvivu tu wa kusikiliza.

Kuna mijitu itaamini kweli alichoongea Ruto kina uhusiano wowote na mambo ya Tanzania.

IF anything katika historia ya maandamano ya Tanzania aijawahi tokea watu 20 kuuwawa..

Na alichoongea Ruto ni contexts za Kenya na hata yeye aafiki utovu wa nidhamu uliopitiliza.
 
Kaongelea wapi kuhusu Mh. Rais Samia? Hivi mnajua hali halisi ya yaliyotokea nchini Kenya? Watu walipotezwa na vilio vilitawala, hiyo ndio demokrasia?
 
Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano
Mtaendeleza uongo na uzushi mtakavyo, lakini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wambura aliuweka wazi ukweli, bila kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kwanza toka lini mlisikia Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?

. Nini kinawafanya mshindwe kulitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
 
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
We ajuza Kvant za kujificha zitakuua siku moja
 
Kaongelea wapi kuhusu Mh. Rais Samia? Hivi mnajua hali halisi ya yaliyotokea nchini Kenya? Watu walipotezwa na vilio vilitawala, hiyo ndio demokrasia?
Watanzania hasa CDM na watu waovu serikalini wana committed team ya upotoshaji.

Knowing serikali aina team makini ya kujibu upotoshaji na wafuatiliaji.

Asilimia kubwa ya JF members hawata sikiliza Ruto alichosema. Bali kuchangia based on head line.

Sasa shida hao watakao changia based on headline watakuwa wengi zaidi. Ndio msingi wa upotoshaji unapoanzia JF
 
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
Ngoja wakufanye kama binti wa Dovya ndio utaelewa na siasa zako za standard 4 failure
 
Rais wetu ile juzi alijinasibi kwamba uwa anaongea na marais wenzake.

Alishindwa kuongea na Rais Ruto wa nchi ya jirani yake kupata ushauri wa jinsi ya kuongoza nchi!

FB_IMG_1726831901062.jpg
 
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
😂 unachekesha sana
 
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
Dear upo?

Simu yako anayo mtoto nini?
 
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
Ww utakuwa uko kwenye period siyo kwa povu hili, pumba pumba ushudu mtupu
 
Kenya Oyeeee
Kweli tuna very low IQ

Ruto huyuhuyu? Aliyeua watoto zaidi ya 60 a few weeks ago?

Chakademus kweli imepoteza mwelekeo… miezi kadhaa nyuma mliandamana, mkapewa support hadi na polisi. Tatizo kumbukumbu zenu ziko fupi sana
 
Back
Top Bottom