- Thread starter
- #21
Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.
Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.
Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.
Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?
Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?
Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.
Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.
Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.
Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.
Mwanzo 9:6 BHND
ShareAmwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.