Ruto kampa live Raisi Samia na demokrasia fake

Ruto kampa live Raisi Samia na demokrasia fake

Mtaendeleza uingo na uzishi jtakabyi lajini ukweli tunaufahamu.

Mwaka jana Wamvurs sliuwrka wazi buka kutafuna maneno.

Tunafahamu pia kuwa Ali Mohamed Kibao ni Afisa wa jeshi la ulinzi mstaafu. Na tunaelewa kuwa Afisa wa jeshi hata akiwa mstaafu bado anakuwa ni mwanajeshi wa akiba.

Mnajidai kuomboleza wakati hata jina lake kamili mnapatwa na kigugumizi kulitamka?

Kqanza toka. Lini mlisika Waislam wanaombolezwa wakifa? Hamuoni hata haya?
. Nini kinawafanya mshindwe kukitamka au kuliandika jina lake, Mohamed?

Tunaelewa, Nafsi zinawasuta.

Maandamano ni marufuku na popote mtakapo yaanzisha mtafinywa.

Rais mama Samia kishawaeleza, hakuna kisichojulikana, kama hamjaelewa, mtaelewa tu.

Hii sio Kenya, ambako askari anakatikiwa kiuno na kuchezewa sharubu.


Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Rais wetu ile juzi alijinasibi kwamba uwa anaongea na marais wenzake.

Alishindwa kuongea na Rais Ruto wa nchi ya jirani yake kupata ushauri wa jinsi ya kuongoza nchi!

View attachment 3102621
Actually ruto needs to learn from TZ…. Mliandamana last time mkalindwa na kupewa hadi maji ya kunywa

Maandamano yakaisha kwa aiiibuuuuu kama mlikua kwenye walkathon ya mtu na mgoni wake
 
Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano

Niongezee hili la imani

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
Na imagine kile kilichotokea Kenya hapa Tz nani angeweza kukicontrol? Kenya imefika level za Mbali sana ktk nchi za afrika. Baada ya South Afrika inafata Kenya.
 
Na imagine kile kilichotokea Kenya hapa Tz nani angeweza kukicontrol? Kenya imefika level za Mbali sana ktk nchi za afrika. Baada ya South Afrika inafata Kenya.
Crap

Unasahau hadi yake makaburi ya makundi ya watu?
 

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
Alieuliwa anaitwa nani vile? Yule mwanajeshi, Mwarabu wa Tanga?
 
Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano

Niongezee hili la imani

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.


Yaani Ruto kamfunika Mama mpaka tunaona aibu kusema sisi eti tuna demokrasia!!!
 
Back
Top Bottom