Kenya 2022 Ruto: Maamuzi ya mahakama tunamuachia Mungu

Kenya 2022 Ruto: Maamuzi ya mahakama tunamuachia Mungu

Kenya 2022 General Election

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589


"Sisi ni watu ambao tunamtambua Mungu, maamuzi yatakayoenda kutolewa kesho tumemuachia Mungu na viongozi wa mahakamani waamue na kenya iweze kwenda mbele".

"Mimi naomba kwa heshima kubwa mumuombee Kenyatta hasa katika kipindi hiki cha transition, Mungu amsaidie ampatie hekima, kuwe na transition ya amani, Kenya iweze kwenda mbele sisi tunavyopenda".

"Wakati anaenda kupumzika Mungu amsaidie aishi maisha mazuri kwasababu tuko na desturi kama wakenya kwamba kila Rais anayestaafu, basi anastaafu kwa heshima zote na hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa Rais wetu Kenyatta".

"Akatuwa na mahali pake kama kiongozi aliyetusaidia katika taifa letu la Kenya kama Rais, na ataungana na watangulizi wake katika kuwa na pahali pa heshima wanayostahili, kama viongozi wa taifa waliyoiongoza Kenya kufikia hapa tulipo".
 

Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
 
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Khaaaa Kwa ushahidi gan wa Akina Odinga na genge lake wakunullify chaguzi ??.
By the way, to be sincerely honest in my humble opinion without being sentimental and of course without offending anyone who thinks differently from my point of view , without hiding any thoughts in my mind , without lies , to the actual truth with my open mind and clear heart, I just want to say that WILLIAM RUTTO IS THE NEXT PRESIDENT OF KENYA !!
 
Una uhakika Uhuru alikua Bega Kwa Bega na Odinga?
Kwa kubuni huwa tuko mbele sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuhusu kesho tuwaachie wao.

Kwa Afrika ni ngumu sana kwa rais aliyeshinda kupokonywa tena ikitokea Kenya basi watakuwa wameizidi Amerika kwa demokrasia...tuwaombee wakubaliane ma hukumu ya kesho bila kujali nani atashinda
 
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Nafuu wewe ni mjanja kama wewe ni mtz na wewe nilipumbavu
 
Back
Top Bottom