Kenya 2022 Ruto: Maamuzi ya mahakama tunamuachia Mungu

Kenya 2022 Ruto: Maamuzi ya mahakama tunamuachia Mungu

Kenya 2022 General Election
Kwani Kuna Nini mbonà hakuna indication ya Raila kuguswa
 
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Ebu toa point tatu ambazo unadhami zitamvusha Raila Kama ulisikiliza proceedings
 
Embu kueni serious basi,, Uhuru awe Si wa mchezo mchezo alafu Ruto awapige ??.

Yaan Uhuru na genge lake lote, wamshindwe Ruto kwenye uchaguzi??. Mpaka wategemee Mahakama ?.

Hii point muhimu sana, jamaa wangemalizana kwenye box . Kisha aende mahakamani wakamalizie mchezo.

Lakini imekuwa tofauti, hiki hata mie kinaendelea kuniamisha Ruto anaikamilisha safari kesho na maandalizi ya kuapishwa yanapamba moto.

Jamaa toka awe President elect, move zake zote zimekaa ki Rais Rais tu.

Anauhakika na ikulu
 
Kwa kubuni huwa tuko mbele sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuhusu kesho tuwaachie wao.

Kwa Afrika ni ngumu sana kwa rais aliyeshinda kupokonywa tena ikitokea Kenya basi watakuwa wameizidi Amerika kwa demokrasia...tuwaombee wakubaliane ma hukumu ya kesho bila kujali nani atashinda
Mbona ilishatokea? Au ulikuwa haujazaliwa, tena hii ndio rahisi kuliko iliyopita.
 
Chu
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Chunga maneno Yako.. ruto kesho anathibitishwa rasmi..hta ikitokea uchaguz ukaitishwa upya hkna uwezkano wa raila kuwa rais.

Ndo maaana unaona ruto katangaza ataheshimu maamuz ya mahakama lakn odinga husikii akiongea hivyo.. ye anachoamin ni ushindi tu.

Majaji wa tano wataunga mkono ushindi wa ruto. Wawil watapinga. Huo ndo mkeka wangu. Karibu tubet. Na uache kutukana watanzania wenzio. That is childish
 
Una uhakika Uhuru alikua Bega Kwa Bega na Odinga?
Atakama hakuwanae ila Uhuru hakutaka kabisa Ruto awe Rais! Unaikumbuka kauli ya Lissu 2015? Aliwah sema ni wako tayari ata kushirikiana na shetani alimradi waitoe CCM madalakani.
 
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Mkuu Ruto Ni rais, hakuna uchaguzi utakuwa nullified!!
 
Chu

Chunga maneno Yako.. ruto kesho anathibitishwa rasmi..hta ikitokea uchaguz ukaitishwa upya hkna uwezkano wa raila kuwa rais.

Ndo maaana unaona ruto katangaza ataheshimu maamuz ya mahakama lakn odinga husikii akiongea hivyo.. ye anachoamin ni ushindi tu.

Majaji wa tano wataunga mkono ushindi wa ruto. Wawil watapinga. Huo ndo mkeka wangu. Karibu tubet. Na uache kutukana watanzania wenzio. That is childish
Mimi ndoto zangu zinasema Ruto Ni rais ila jugde mmoja atajitenga na huo uamuzi
 
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wale wajinga wajinga !
Mtu unaangalia clip wakati wengine siku tatu mfululizo tunafutilia Supreme Court ya Kenya kuhusu Petitions za Raila Odinga & Others na kesho tuko positive kuwa verdict itatoka ya ku- nullify uchaguzi wa Kenya na Ruto hatokuwa tena President Elect.
Mitanzania mijinga jinga sana ndo maana wenzetu wanatudharau sana !
Kama umeafuatilia ule ushahid fake mahakamani wa vielelezo kutoka kwa odinga ujue itamcost kesho
 
Back
Top Bottom