Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kabisa, wamesikilizwa lakini bado wamekaza shingo.....huo sasa ni uhuni kama uhuni mwingine na wanapoteza maana.Ifike sehemu waheshimu mamlaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, wamesikilizwa lakini bado wamekaza shingo.....huo sasa ni uhuni kama uhuni mwingine na wanapoteza maana.Ifike sehemu waheshimu mamlaka
Unaifahamu "Machiavellianism"?Hawakutaki.
Namuunga mkono RutoWamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Kama hawamtaki awasaidie nini? Kama hawamtaki utaratibu wa kikatiba upo wazi lakini wakifanyacho si miongoni mwake.Hawakutaki.
Ha ha ha ha, Mzee Ruto huna namna ishi nao hao maana Kenya ni yao pia.Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Anajua kuna kitu kinaitwa election, unlike in the past where kura nyingi alizipata kutoka kwa hao Gen Z, basi hao hap gen z watakuwa against him, this time si chama bali gen z wa nchi nzimaWamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Wasubiri wakati wa kupiga kura wasimpe kura THATS MEAN OF DEMOCRACY!Hawakutaki.
HILI LIDUDE SOMETIMES HALINAGA MAANA YOYOTE, TWENDE POLE POLE!Katiba Mpya bado wanayo?
Chadema bana, vijana wapumbavu mnawaita wanaojielewa!Hao ndiyo vijana wanaojielewa ; sisi wa kwetu wapo kwa Mzee Magoma na madumu ya petrol.
Kabisa Mkuu, na watu wanawashwa kwa vitu hawajui, ni rahisi sana kuwaongoza watanzania. Huwa wanajiendea kama ng'ombe wa kuswaga.Hao ndiyo vijana wanaojielewa ; sisi wa kwetu wapo kwa Mzee Magoma na madumu ya petrol.
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Gen Z wapigwe chuma mmoja baada ya mmoja wakatulia tu kama Rwanda au UgandaHILI LIDUDE SOMETIMES HALINAGA MAANA YOYOTE, TWENDE POLE POLE!
Ila sema kweli wa Mungu Ruto ni kiongozi bora ,mvumilivu na msikivu pia , nafikili G z watakua hawamtendei haki ,ukweli usemweWamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Anataka akutane nao halafu baada ya masaa manne wakutwe wamekufa majalalani.Gen Z wanaijua hiyo!Ruto kwa nini amewarudisha mawaziri waliopigiwa kilele!! Hata ukiwasikiza tu unajua wanataka nini kwani lazima akutane nao! Mbona mimi naelewa wanachokitaka bila hata kukaa nao yeye ni wapi anashindwa kuelewa??? Ruto naye kumbe msaniii!!
Ndio, UKABILA ndo password kutoboa Kenya. Pia, hivi Kenya mbona waislam wanabaguliwa na wametulia tu. Nadra kupata airtime Kwa madhehebu ya kiislamFujo za Kenya ni za kijinga sana, zinachangiwa na ukabila.