Ina maana hata hawa misukule ya mbowe inayoandamana kila uchao nao wanstahili kichapo?Kabisa mwanzo niliwaunga mkono hata mimi lakini now wapewe haki yao ikibidi hata kuuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hata hawa misukule ya mbowe inayoandamana kila uchao nao wanstahili kichapo?Kabisa mwanzo niliwaunga mkono hata mimi lakini now wapewe haki yao ikibidi hata kuuliwa
Kenya imelaanika kitamboWakenya hawana tofauti na watu wa kaskazini ya Tanzania, ni wabaguzi sana wa ukabila.
Kenya Waislamu wachache Sana, ni wale WasomaliNdio, UKABILA ndo password kutoboa Kenya. Pia, hivi Kenya mbona waislam wanabaguliwa na wametulia tu. Nadra kupata airtime Kwa madhehebu ya kiislam
Mkuu katiba mpya ni upuuzi waliokaririshwa misukule ya mboweKatiba Mpya bado wanayo?
Mkuu katiba mpya ni upuuzi waliokaririshwa misukule ya mbowe
nglhrc.com
Pwani ya Kenya (Mombasa, Lamu, Kilifi, Malindi) na kule Wajir, Mandera, Garissa wamejaa waislam Ila wametupwa nje kama yatima.Kenya Waislamu wachache Sana, ni wale Wasomali
Hao wengine ni kama BakwataPwani ya Kenya (Mombasa, Lamu, Kilifi, Malindi) na kule Wajir, Mandera, Garissa wamejaa waislam Ila wametupwa nje kama yatima.
Hawamtaki mtu waliyemchagua kwa kura?warudi kwenye box la kuraHawakutaki.
Ukiacha Duale wengine wamejaa Wa-Kalenjin na Kikuyuz (KQ)Hao wengine ni kama Bakwata
Wew ruto acha mbembwe uliwapa wananchi option au wao ndo wakupe optionWamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
Source Citizen TV
Afrika Ni mwendo wa mtutu wa bunduki tuNchi Za afrika hazitaki kubembelezana,Acha wampande kichwani.
Miraa inawachanganyaKuna namna madogo wanayumba
Hao Gen Z wa Kenya wanaotaka kuitia nchi yao kwenye moto ni wajinga.Kabisa Mkuu, na watu wanawashwa kwa vitu hawajui, ni rahisi sana kuwaongoza watanzania. Huwa wanajiendea kama ng'ombe wa kuswaga.
Ruto anajua nini Gen Z kile wanataka, nayeye bado anataka madaraka hapo ndiyo wanapishana. Waacheni watu watatue matatizo yao yanayowakabili. Nyinyi mtauziwa kila mlichonacho mtaomba hifadhi Kenya.
Hawezi kuua wote! Anachokitafuta atakipata! Ni bora awe mpoleAnataka akutane nao halafu baada ya masaa manne wakutwe wamekufa majalalani.Gen Z wanaijua hiyo!
Ahsante mkuu kwa kuliona hiloAnd not otherwise