Ruto: Niliwapa Fursa zote Gen Z Ili tufikie muafaka wameshindwa kuzitumia wakijidai wao ni zaidi, sasa Basi!

Ruto: Niliwapa Fursa zote Gen Z Ili tufikie muafaka wameshindwa kuzitumia wakijidai wao ni zaidi, sasa Basi!

Mkuu haya ni madhara ya viongozi kuwaapuuza na kuwasahau wananchi kwa muda mrefu. Nchi ikishaingia kwenye stage ambayo wananchi wanakinukisha, basi kuwatuliza tena inakuwa ni vigumu kwani watu wenye njaa na hali mbaya ya maisha, wanakuwa na frustrations. Sisi wengine hapa Tanzania huwa tunapiga kelele kutaka mabadiliko kabla wananchi hawajaamka kutoka kwenye usingizi waliolala. Nakupia nchi kama Tanzania ikilipuka kuja kutulia inachukuwa muda mrefu sana. Angalia nchi zote zilikuwa na madiktekta na wakaondolewa kwa nguvu ya umma, hazitulii kwa haraka. Na hata zikitulia, cheche ndogo tu inaweza kulipua tena mambo.
.,..huu hapa mkono!
 
Kama ulivyo wewe unabagua wasio Waislam,nà upo radhi kumtetea Muislam mwenzako hat a akiwa Mwizi!
Siyo kweli.

Huyo atakuwa Muislam jina, siyo Muislam vitendo.
Ndio, UKABILA ndo password kutoboa Kenya. Pia, hivi Kenya mbona waislam wanabaguliwa na wametulia tu. Nadra kupata airtime Kwa madhehebu ya kiislam
Waislam ndiyo wameshika uchumi wa Kenya kwa asilimia kubwa sana, sasa kwanini wajiingize kwenye gfujo za kijinga?
 
Kama ulivyo wewe unabagua wasio Waislam,nà upo radhi kumtetea Muislam mwenzako hat a akiwa Mwizi!
Siyo kweli.

Huyo atakuwa Muislam jina, siyo Muislam vitendo.
Mbona hujawahi kulaani unyanyasaji wnaofanyiwa Wamasai na Waarabu kule Ngoro Ngoro na Longido!
Hakuna unyanyaaji wowote anaefanyiwa yeyote Tanzania hii.

Wangekuwa wananyanyaswa wangetapaa Tanzania nzima na ng'ombe zao?

Ni wakati Wamasai wawe wafugaji siyo wachungaji.
 
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?

Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii

Chanzo: Citizen TV
Mwambieni GeZ Wanataka mama mboga na bodaboda kwenye serikali anayoiunda. Hapa mzee wa urongo lazima kimrambe.
 
Kwamba amani na madai ya wananchi yanategemea huruma ya viongozi!!
Busara ilikuwa kujiuzuliu ili aachaguliwe kiongozi atakaye wajali wakenya.
Option pekee aliyonayo Ruto itakuwa ni kutumia nguvu ya jeshi, kitu ambacho kinaweza kumletea shida sana kama yatatokea mauaji.

Kwa hilo namuunga mkono Ruto
 
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?

Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii

Chanzo: Citizen TV
Aachane nao tu, polisi na jeshi watimize wajibu wao... Wanataka Wampeleke Hague hao..
 
Back
Top Bottom