Ruto: Niliwapa Fursa zote Gen Z Ili tufikie muafaka wameshindwa kuzitumia wakijidai wao ni zaidi, sasa Basi!

Nakubaliana naye sababu wanataka kumpeleka kama vile hakuna serikali, awashughulikie vizuri ni wapumbavu sn, amevunja baraza la mawaziri, amepunguza budget ya Ikulu, amekataa kusaini mswaada ambao ndiyo chanzo cha maandamano, unataka awabebe mgogoni? huo ni upumbavu lazima serikali isimame imara, hata Raila kasema vizuri.
 
Asimamie zoezi lote mpaka likamilike Kwa hayo mauaji ya kimbari mpaka Gen Z wa mwisho kabisa. Kenya mpya yaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…