Ruto: Niliwapa Fursa zote Gen Z Ili tufikie muafaka wameshindwa kuzitumia wakijidai wao ni zaidi, sasa Basi!

... baada ya vurugu zoote uchumi wa nchi yao umevurugika, sambamba na uchumi wao mmojammoja! ... na wameharibu ajira hata hizo walizoona haziwafai, na sasa KUFA HAWAFI ILA CHA MOTO WATAKIONA!
DAWA NI KURA YAKO, HATA KAMA HAITALETA MABADILIKO, ITATUMA UJUMBE!
 
Ruto must go hapo hajaelewa nini? maana yake hawamtaki yeye.
Ni kwa nini walimchagua kama hawakumtaka....!!?

Kwa kifupi ni kwamba anahujumiwa na viongozi wenzake + waliomtangulia kuongoza taifa hilo...
Full stop.
 
Sasa basi"
Maana yake kinachofuata ni fimbo za matakoni
Shauri zao
Hakuna Rais anaondoka madarakani kwa kuambiwa
 
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?

Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii

View attachment 3047997
This is how President should acts! Congracts Mr presidents….Those bunch of looters and goons are crying now
 
Mtawala akishafanikiwa kuwapumbaza vijana basi atatawala atakavyo.
Taifa mfu ni lile ambalo vijana wake wanafikiria Uchawa na kubeti kama ajira rasmi.
You have an options, uwe chawa wa ccm, kunguni za Chadema, aidha upende kubet, aidha ujibidishe kikazi au kibiashara all is up to you!
 
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?

Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii

View attachment 3047997


And what would that mean? Think we'll about it🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kwa hiyo anataka civil war...

Na asipokuwa makini ataipata...
 
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?

Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii

View attachment 3047997
Yeah! Mama mmoja wa Uingereza enzi hizo (vita ya Falklands) aliwahi kusema "Enough is enough" na baada ya kauli hiyo kilichofuata hapo ni kipondo kitakatifu tena bila huruma.
 
These hooligans called Gen-z has nothing to do with finance bill,but 'tribal driven" fools!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…