Ndo wataanza kulia tena. Ruto hakikisha unawapa nidhamu ya kutosha.Vita ya maumau nyingine hiyo hapo.
Ni kwa nini walimchagua kama hawakumtaka....!!?Ruto must go hapo hajaelewa nini? maana yake hawamtaki yeye.
Mbona nyie Machadema Huwa hamheshimu mamlaka?Ifike sehemu waheshimu mamlaka
This is how President should acts! Congracts Mr presidentsβ¦.Those bunch of looters and goons are crying nowWamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
View attachment 3047997
You have an options, uwe chawa wa ccm, kunguni za Chadema, aidha upende kubet, aidha ujibidishe kikazi au kibiashara all is up to you!Mtawala akishafanikiwa kuwapumbaza vijana basi atatawala atakavyo.
Taifa mfu ni lile ambalo vijana wake wanafikiria Uchawa na kubeti kama ajira rasmi.
watajua wenyeweNi kwa nini walimchagua kama hawakumtaka....!!?
Kwa kifupi ni kwamba anahujumiwa na viongozi wenzake + waliomtangulia kuongoza taifa hilo...
Full stop.
Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
View attachment 3047997
Jeshi wanaweza wakakataa kuua wananchi wao π³Watapigwa kwa hasira Hadi wahame mji. Busara ina mwisho
Ohooo huko sasa ni mbali !Kwa hiyo anataka civil war...
Na asipokuwa makini ataipata...
Umeisahau Arab Spring ??! π³πuliwah kuona wap rais ajiulzulu?
Yeah! Mama mmoja wa Uingereza enzi hizo (vita ya Falklands) aliwahi kusema "Enough is enough" na baada ya kauli hiyo kilichofuata hapo ni kipondo kitakatifu tena bila huruma.Wamesema niondoe Finance Bill nami nimeiondoa, Nimewaita tukutane wanasema wao hawana Viongozi tukutane X, nimeenda huko X wote wamenikimbia, sasa Wanataka nini zaidi?
Nasema sasa imetosha hatuwezi kuendelea namna hii
View attachment 3047997
Rais haondoki madarakani kwa kuambiwa kwa sababu hakuingia madarakani kwa kuambiwa.Sasa basi"
Maana yake kinachofuata ni fimbo za matakoni
Shauri zao
Hakuna Rais anaondoka madarakani kwa kuambiwa
Tribal driven !!π³These hooligans called Gen-z has nothing to do with finance bill,but 'tribal driven" fools!
Nenda kawaue wewe, unataka nani awaueKabisa mwanzo niliwaunga mkono hata mimi lakini now wapewe haki yao ikibidi hata kuuliwa
Kwa hilo namuunga mkono Ruto