Ruto rais wa Kenya anafanya sawa kabisa, anajua amejifunza!

Ruto rais wa Kenya anafanya sawa kabisa, anajua amejifunza!

naona umetanguliza chuki mkuu. unapoandika mada jitahidi kuficha hisia zako .
Anyway iko hivi ruto anawasiwasi wankupinduliwa na hiyo ni kitu mbaya Sana , kwanza unawafanya watu wakuhisi hujiamini , kwann uende kumsumbua mama wa watu Tena mzee , si ashughurike na Uhuru Kama anamhisi vibaya!? mama Kenyatta ni 1st lady wa taifa la Kenya anaheshima kubwa Sana nchini Kenya , unaanzaje kumkosea heshima !? Kama angekuwa na Jambo angeenda nyumbani kwa mama Kenyatta aongee nae kwa staha .
badala ya kutengeneza , Sasa ndo amezidi kuharibu !! anajichimbia shimo mwenyewe .
Ruto kafanyaje mama Kenyatta!?
 
Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.

Anajua kwamba he has get them before they get him …

View attachment 2695936
Wamemkosea nini ?
 
Umeona eee kipindi yupo makamu walikuwa wana mnanga lakini alivumilia yote, walitaka asuse umakamu [emoji3][emoji3] naye akang'ang'ania humo humo, watulie dawa iwaingie

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Jamani kama hamjui siasa tafuteni maarifa mtazijua,kama Kenyatta angetaka wakati ule amuondoe Ruto angeweza kufanya hivyo.Vilevile kama angetaka Ruto asiwe Rais huyo Ruto asingekuwa Rais-hakuna sikio linazidi kichwa kwa vyovyote vile.
Rutto kuwa Rais ni mchezo waliucheza yeye na rafiki yake Uhuru-bahati mbaya Odinga akaingia King.
 
Ruto inabidi awe makini,asipoangalia hu mchezo utageuka kama wa Kikwete na Magufuli-unamuweka MTU kwenye kiti kisha anakugeuka.
Mwisho wa siku unapoteza kiti chenyewe,Uhuru na Odinga ndio Kenya ukicheza nao inabidi uwe makini.
 
Simple wawalipe walinzi kutoka kwenye pensheni zao; na hao waliopo sasa siku wakimaliza na wao mama zao na ndugu zao wajilipie Simple...

Hio itapunguza Gharama kwa walipa kodi mtaani
 
Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.

Anajua kwamba he has get them before they get him …

View attachment 2695936
Kwani hakuna Katiba Mpya huko Kenya au? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukisoma watanzania wanavyotoa maoni kuhusu matatizo ya majirani, utakumbuka ule msemo kuwa "Nyani haoni,,,,, lake
 
Jamani kama hamjui siasa tafuteni maarifa mtazijua,kama Kenyatta angetaka wakati ule amuondoe Ruto angeweza kufanya hivyo.Vilevile kama angetaka Ruto asiwe Rais huyo Ruto asingekuwa Rais-hakuna sikio linazidi kichwa kwa vyovyote vile.
Rutto kuwa Rais ni mchezo waliucheza yeye na rafiki yake Uhuru-bahati mbaya Odinga akaingia King.
Basi kama ulikuwa mchezo wa Uhuru na Ruto mpaka akaingia madarakani, basi huu mchezo mpya wataumaliza salama.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.

Anajua kwamba he has get them before they get him …

View attachment 2695936
Mzee hizi mambo anafanya kwa mtangulizi hazitamuacha salama mda ni mwalim
 
Uhuru alitaka amiliki remote kama ilivyo tanzania remote kuwa msoga.ruto hana masihala kabisa.huo ndio uongozi tunaotaka
 
Back
Top Bottom