Ruto rais wa Kenya anafanya sawa kabisa, anajua amejifunza!

Ruto rais wa Kenya anafanya sawa kabisa, anajua amejifunza!

Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.

Anajua kwamba he has get them before they get him …

View attachment 2695936
He has get! Andika kiswahili tu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tena awaminye zaidi mpaka wanyooke! Raila amezoea kila akiangukia pua lazima afanye vurugu ili amegewe nusu mkate! Safari hii Ruto amkazie mpaka anyooke! Zee pumbavu sana hili!
 
Ruto mwenye pua kubwa kama andazi amguse Uhuru aone, tunasema amguse aone kama Kenya itabaki ile ile. We know how to deal with shit.
 

Attachments

  • newslite1689605894725.jpg
    newslite1689605894725.jpg
    97.2 KB · Views: 6
naona umetanguliza chuki mkuu. unapoandika mada jitahidi kuficha hisia zako .
Anyway iko hivi ruto anawasiwasi wankupinduliwa na hiyo ni kitu mbaya Sana , kwanza unawafanya watu wakuhisi hujiamini , kwann uende kumsumbua mama wa watu Tena mzee , si ashughurike na Uhuru Kama anamhisi vibaya!? mama Kenyatta ni 1st lady wa taifa la Kenya anaheshima kubwa Sana nchini Kenya , unaanzaje kumkosea heshima !? Kama angekuwa na Jambo angeenda nyumbani kwa mama Kenyatta aongee nae kwa staha .
badala ya kutengeneza , Sasa ndo amezidi kuharibu !! anajichimbia shimo mwenyewe .
Ruto ni mjinga sana na muongo mno sijui ni zao la CCM. Nchi imeshamnyea hii.
 
Raila na Uhuru walifundisha "mumbwa" kuwinda, sasa "mumbwa" imegeuka inawawinda wao wenyewe...
 
Back
Top Bottom