Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ruto kafanyaje mama Kenyatta!?naona umetanguliza chuki mkuu. unapoandika mada jitahidi kuficha hisia zako .
Anyway iko hivi ruto anawasiwasi wankupinduliwa na hiyo ni kitu mbaya Sana , kwanza unawafanya watu wakuhisi hujiamini , kwann uende kumsumbua mama wa watu Tena mzee , si ashughurike na Uhuru Kama anamhisi vibaya!? mama Kenyatta ni 1st lady wa taifa la Kenya anaheshima kubwa Sana nchini Kenya , unaanzaje kumkosea heshima !? Kama angekuwa na Jambo angeenda nyumbani kwa mama Kenyatta aongee nae kwa staha .
badala ya kutengeneza , Sasa ndo amezidi kuharibu !! anajichimbia shimo mwenyewe .
Umeona eee kipindi yupo makamu walikuwa wana mnanga lakini alivumilia yote, walitaka asuse umakamu [emoji3][emoji3] naye akang'ang'ania humo humo, watulie dawa iwaingieAnahofu akifanya handshake na Raila ataonekana dhaifu
Wamemkosea nini ?Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.
Anajua kwamba he has get them before they get him …
View attachment 2695936
Jamani kama hamjui siasa tafuteni maarifa mtazijua,kama Kenyatta angetaka wakati ule amuondoe Ruto angeweza kufanya hivyo.Vilevile kama angetaka Ruto asiwe Rais huyo Ruto asingekuwa Rais-hakuna sikio linazidi kichwa kwa vyovyote vile.Umeona eee kipindi yupo makamu walikuwa wana mnanga lakini alivumilia yote, walitaka asuse umakamu [emoji3][emoji3] naye akang'ang'ania humo humo, watulie dawa iwaingie
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
We Mwiguru [emoji23]Uhuru kwq kuepuka usumbufu aende kuishi burundi
WalishajifiaHapo kwenu hawapo au hayupo?.
Kwani hakuna Katiba Mpya huko Kenya au? 🤣🤣🤣🤣🤣Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.
Anajua kwamba he has get them before they get him …
View attachment 2695936
Basi kama ulikuwa mchezo wa Uhuru na Ruto mpaka akaingia madarakani, basi huu mchezo mpya wataumaliza salama.Jamani kama hamjui siasa tafuteni maarifa mtazijua,kama Kenyatta angetaka wakati ule amuondoe Ruto angeweza kufanya hivyo.Vilevile kama angetaka Ruto asiwe Rais huyo Ruto asingekuwa Rais-hakuna sikio linazidi kichwa kwa vyovyote vile.
Rutto kuwa Rais ni mchezo waliucheza yeye na rafiki yake Uhuru-bahati mbaya Odinga akaingia King.
Mzee hizi mambo anafanya kwa mtangulizi hazitamuacha salama mda ni mwalimUhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena powerful one hivyo anajua kwamba kama usipodili nao hawatakuwa na huruma na wewe wakipata nafasi, anajua anachofanya, sasa ameondoa ulinzi kwa familia yote ya evil Uhuru.
Anajua kwamba he has get them before they get him …
View attachment 2695936
Ndiyo hivyo anataka kivuli chake kibaki ikulu kama kina KabilaUhuru alitaka amiliki remote kama ilivyo tanzania remote kuwa msoga.ruto hana masihala kabisa.huo ndio uongozi tunaotaka
Hiyo inaitwa Jiwe gizani puu!!Wewe yako ungeyaona usinge comment ungekaa kimya au unataka ulipo wewe na wengine wawepo eti!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kama mzee wa tabasamu kama lote kumbe hayawani mkubwaWa hivi huwa hawamalizi awamu zao