Ruto rais wa Kenya anafanya sawa kabisa, anajua amejifunza!

He has get! Andika kiswahili tu!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tena awaminye zaidi mpaka wanyooke! Raila amezoea kila akiangukia pua lazima afanye vurugu ili amegewe nusu mkate! Safari hii Ruto amkazie mpaka anyooke! Zee pumbavu sana hili!
 
Ruto mwenye pua kubwa kama andazi amguse Uhuru aone, tunasema amguse aone kama Kenya itabaki ile ile. We know how to deal with shit.
 

Attachments

  • newslite1689605894725.jpg
    97.2 KB · Views: 6
Ruto ni mjinga sana na muongo mno sijui ni zao la CCM. Nchi imeshamnyea hii.
 
Raila na Uhuru walifundisha "mumbwa" kuwinda, sasa "mumbwa" imegeuka inawawinda wao wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…