Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 (Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.

Ruto amesema hatua hiyo ni sawa na kurudi nyuma miaka 2 😁😁👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take: Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Pia soma Marais Museveni wa Uganda & Mwinyi wa Zanzibar Wamekataa Itikadi za Kijamaa, Bajeti zao kugharamiwa na Mikopo kwa 60%
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Comment za kijinga,,,miradi ya umeme na SgR ukisimamia vizuri hizo zinakupa pesa kuliko mikpo ye u ya kujenga vituo vya zahanati
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Shida sio kukopa wala sio miradi,,,shida unazitumia hizo pesa kama ilivyokusudiwa?? Maana kama hio pesa haitakuja kuzalisha au kuongeza wigo wa walipa kodi, kwenye malipo itakua shida, ndo kama haya yaliyowakuta Kenya
 
Shida sio kukopa wala sio miradi,,,shida unazitumia hizo pesa kama ilivyokusudiwa?? Maana kama hio pesa haitakuja kuzalisha au kuongeza wigo wa walipa kodi, kwenye malipo itakua shida, ndo kama haya yaliyowakuta Kenya
Ndio kwani wapi hazikutumika kama ilivyokusudiwa? Shida ni kuanzisha miradi ya Kisiasa ambayo Haina Tija kiuchumi eg Sgr yenu Ina Tija gani kiuchumi?
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
Timing ya miradi na Tija ya miradi.Tzn hii ilikuwa inahitaji hayo ma Sgr na mandege ya mabilioni.kwa Matrilioni? Hata wakoloni walijenga reli pale tuu kulikopkuwa na mzigo wa kubeba.
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.

Ruto amesema hatua hiyo ni sawa na kurudi nyuma miaka 2 😁😁👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Ruto ni kama Magufuri tu kasoro misimamo ya Raia na falsafa za nchi zao.
 
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.👇👇

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19

My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.

Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4

Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.

Akili za maccm ndio hizi zilizoferi! Unamaliasili ngapi ambazo unagawa kama njugu na kwa kodi za kiwango cha bule?

Magufuli Ubarikiwe kokote kule uliko! Ulianzisha miradi inayopima akili za mafisadi ya ccm! Na kwa malalamiko haya tayari yanaonyesha dhahiri ubongo wao upo kwa ajili ya kuwaza kula basi!
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
Mfumo wao wa Ujamaa unaruhusu kuwa hivyo.
 
Timing ya miradi na Tija ya miradi.Tzn hii ilikuwa inahitaji hayo ma Sgr na mandege ya mabilioni.kwa Matrilioni? Hata wakoloni walijenga reli pale tuu kulikopkuwa na mzigo wa kubeba.
Population ya Tanzania inakua ki hovyo hovyo hivyo uhitaji upo.

Utegemezi wa nchi zilizo tuzunguka hivyo uhitaji upo.

Hata sera kama ni ya viwanda kweli hivyo uhitaji lazima uwepo.
 
Back
Top Bottom