Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

Ruto: Vile Wakenya wameikataa "Finance Bill", tutakopa Tsh. Trilioni 20.6 (Ksh.1 T) ili nchi iweze kujiendesha

Walienda kidogo kidogi siyo kukurupuka kama jpm kila akiota anakuja na mamiradi inayoighrimu serikali na watu. Ndo mana alifikia hatua kuvamia na kuiba kwenye personal accounts za watu ili tu miradi iende.
Yule alikuwa ni mshamba sana!
 
Usiape usiape usiale. Usiape kwa mbingu wala kwa nchi. Ukisema ndiyo iwe ndiyo na siyo iwe siyo. Chichote kinachozidi hapo chatoka kwa yule muovu. Mathayo
Sali novena ya mtakatifu Magufuli
images.jpeg-90.jpg
 
Walienda kidogo kidogi siyo kukurupuka kama jpm kila akiota anakuja na mamiradi inayoighrimu serikali na watu. Ndo mana alifikia hatua kuvamia na kuiba kwenye personal accounts za watu ili tu miradi iende.
Shida ya Dola ni dalili mojawapo Ukubwa wa mamiradi yasiyo na Tija eg Kigongo-Busisi bridge ni Moja ya miradi ambayo haikuwa na ulazima na Tija yake sio kubwa kiuchumi na Kwa wananchi.
 
Mikopo si mibaya ila unatumiaje mikopo ndo tatizo linaanzia hapo. Tumia mikopo kutengeneza miradi ambayo inaweza kulipia hiyo mikopo. Ila ukitumia mikopo kugharamia warsha na semina, au katika miradi ya stand ambazo mwisho wa siku hugeuka kuwa white elephant matatizo ya kenya yanakuhusu.
 
Laki mbona hii SGR inaunganishwa na bandari? Mbona niliona makontena zaidi ya mia pale kwala? Sidhani kama hii reli ni ya abiria tu
Makontena mia yanaweza bebwa na semi trailers na usigundue hapo barabarani hata ungekuwa traffick police.

Ujenge reli kwa matrilioni kisa makontena mia hata yawe mia tano bado ni hasara.
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
Ukiwasikiliza wachumi, watakwambia idadi kubwa ya watu ndio chanzo cha upatikanaji wa masoko mbalimbali. Lakini kwetu nitofauti idadi yetu kubwa ya watu haituletei faida nchini kwetu.

- uwepo wa idadi kubwa ya watu dasalam inafanya sgr kujiendesha kwa hasara na kutaka kumpa mwekezaji.

-uwepo wa idadi kubwa ya watu inatufanya tukose soko la nafaka (mkulima hanufaiki).

-Takwimu za watumishi zinaonyesha idadi kundi kubwa la watumishi ni waalimu na wahudumu wa afya. Means wao ndio wachangiaji wakubwa zaidi katika PAYE. Lakini haohao ukifika wakati wa kuboresha maslahi mtaambiwa nyie ni wengi mno tutafirisika.

- unashindwa kupata faida kwenye biashara yako, unampa mwekezaji auze apate faida akupe percent then unasema umepata faida kwakuwa hukuingiza capital.

sie tunakwenda kinyume na kanuni nyingi za kiulimwengu.
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
China ana wataalam
 
Laki mbona hii SGR inaunganishwa na bandari? Mbona niliona makontena zaidi ya mia pale kwala? Sidhani kama hii reli ni ya abiria tu
70% ya mizigo inaenda DRC(Lubumbashi) na Zambia ,Sasa hii ya kwenu inaenda kwenye Vinchi vina uchumi sawa na Mwanza huko Kwa M23 ndio itabeba mzigo gani? Acheni vichekesho 🤣🤣
 
Cha kufurahisha ni kwamba watanzania na JF atujawahi kuijadili hiyo budget ya Kenya, hatujui debt burden yao, kodi zinazopingwa na kutoa solution ya changamoto.

Ila kila uchwało kuna mada za kuwasifu vijana wa Kenya kwa kufanya vurugu, hakuna mada yenye justification ya vurugu zao; kwangu mimi hao vijana ni genge la wahuni tu (simply because I am not informed on their actual disagreement of the bill) kwa hivyo naenda na kauli ya raisi wao Ruto wengi ata hawaelewi wanagomea nini.

Shida zaidi tunajadili budget ya Kenya, yetu yenyewe atuja idadavua merit yake na kuipa marks huo ni unafiki na kupenda kuona vurugu tu.
 
Cha kufurahisha ni kwamba watanzania na JF atujawahi kuijadili hiyo budget ya Kenya, hatujui debt burden yao, kodi zinazopingwa na kutoa solution ya changamoto.

Ila kila uchwało kuna mada za kuwasifu vijana wa Kenya kwa kufanya vurugu, hakuna mada yenye justification ya vurugu zao; kwangu mimi hao vijana ni genge la wahuni tu (simply because I am not informed on their actual disagreement of the bill) kwa hivyo naenda na kauli ya raisi wao Ruto wengi ata hawaelewi wanagomea nini.

Shida zaidi tunajadili budget ya Kenya, yetu yenyewe atuja idadavua merit yake na kuipa marks huo ni unafiki na kupenda kuona vurugu tu.
Wajinga na looser ndio wanaowasifu hao Gen Z na to be specific ni Machadema
 
Reli inaleta maendeleo gani? Kule kwenu Mbozi Kuna Tazara imewaletea maendeleo? 🤣🤣
Haiwezi kuleta maendeleo sababu wanaoisimamia ni mataahira,!

Angalia mradi wa mabasi ya mwendo kasi abiria nje nje lakini majitu yamezubaa yapo ofisini yanawaza ngono tu.
 
Haiwezi kuleta maendeleo sababu wanaoisimamia ni mataahira,!

Angalia mradi wa mabasi ya mwendo kasi abiria nje nje lakini majitu yamezubaa yapo ofisini yanawaza ngono tu.
Kama unajua Nchi Ina mataahira ,Kwa nini uendelee.kujenga kitu kisichokuletea faida? Huo sio pro max utaahira?
 
Wajinga na looser ndio wanaowasifu hao Gen Z na to be specific ni Machadema
Ile sio namna ya kupinga ni uhuni; uwezi kuvamia bunge.

Ku target wanasiasa waliopiga kura na kuwa attack. Worst unavamia nyumba zao na kuchoma moto.

Huna counter argument ya serikali ku-manage debt obligation's.

Ni watu wanaoishi kwenye dunia yao.

Ni genge la wahuni
 
Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.

Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.

Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
Wantumianhela zao. Wachina wana viwanda vingi. Na biashara nyingi. Wanatoza kodi. Serikali inapata hela kibao. Wanajenga miuondombinu ya nchinyao
 
Back
Top Bottom