WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Sure.Tofauti anatawala jamii ambayo ina wasomi wengi (graduates) , hala wanajielewa. So jamii kama hii ni ngumu sana kuisokota kwa namna yoyote ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.Tofauti anatawala jamii ambayo ina wasomi wengi (graduates) , hala wanajielewa. So jamii kama hii ni ngumu sana kuisokota kwa namna yoyote ile
China haifugi wezi wala machawa.Hivi kuna nchi hapa duniani inaifikia China katika kuendesha miradi mikubwa mikubwa ndani na nje ya nchi yao ya mabilioni ya pesa.
Juzi tu hapa wamezindua Shenzhen-zhongshan bridge bonge la daraja.
Mbona wachina hawalalamiki haya yanayo lalamikiwa sehemu kubwa ya Afrika na pamoja uliyo lalamikia wewe ?
Uhitaji upi huo? Mwakani sio mbali,utapata majibu ya hasara usije kimbia.Maendeleo hayasubiriwi hufuatwa of course uhitaji upo.
Urusi sio nchi ya kijamaa, Cuba sasa wanafanya reforms kama za China na Vietnam.Wachina nchi yao ni ya Kijamaa kama ilivyo Cuba na Urusi kwa hiyo nchi zao ni vigumu kuandamana kwa vile kule hakuna Demokrasia ya Mfumo wa Vyama vingi.
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi ya Shilingi Trilioni 20.6 ( Ksh.1Trilioni) za kulipia Madeni na kugharamia mambo mengine ya serikali.
Ruto amesema hatua hiyo ni sawa na kurudi nyuma miaka 2 😁😁👇👇
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1807844155281797191?t=_0LXMMUVV_ybPZs65UYj9A&s=19
My Take
Kenya imefika huko kutokana na Mamiradi mengi makubwa chini ya Rais Hayati Mwai Kibaki na Reli ya SGR ya Uhuru Kenyatta.
Mwenzako akinyolewa zako tia maji.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C86wRT4tMqV/?igsh=eDB1ZWs2YmNvZDJ4
Mnaposhangilia Sgr mkae mkijua ni mikopo na italazimika kuja kulipwa. Hakuna sababu ya kukurupukia miradi mikubwa ya kupigia picha za kisiasa "cosmetic projects" kama hakuna huo ulazima.
Pia soma Marais Museveni wa Uganda & Mwinyi wa Zanzibar Wamekataa Itikadi za Kijamaa, Bajeti zao kugharamiwa na Mikopo kwa 60%
Akili yako ndipo ilipoishia hapo.Reli inaleta maendeleo gani? Kule kwenu Mbozi Kuna Tazara imewaletea maendeleo? 🤣🤣
Jibu swali,reli ya Tazara imeleta maendeleo gani kwenye vimiji vyenu huko? Uhitaji upi unaousema? 😂😂Akili yako ndipo ilipoishia hapo.
Pole
Usafirishaji wa bidhaa kutoka Mbozi kwenda sehemu nyingine kama Zambia na nje ya Tanzania kupitia bandari ya Dar es Salaam.Vile vile imetengeneza ajira kwa wakazi wa Mbozi na maeneo yote ilikopitia na kupunguza umaskini.Pia sehemu zote ambako Tazara imepita kiwango cha ujinga ni kidogo.Na reli ya TAZARA imezalisha miji mingi tofauti na sehemu ambako TAZARA haijapita.Vile vile TAZARA imeweka mawasiliano mazuri baina ya Tanzania na Zambia.Reli inaleta maendeleo gani? Kule kwenu Mbozi Kuna Tazara imewaletea maendeleo? 🤣🤣
Kenya Kuna Ufisadi vs Tanzania miradi ya kukurupuka.Kenya inajulikana ni nchi ya kifisadi,bajeti inayowekwa katika miradi na uhalisia wa thamani ya mradi ni tofauti.
Kenya wamejenga SGR yao kwa pesa nyingi kuliko yetu ilhali kiuhalisia hawakutakiwa kutumia pesa nyingi hivyo.
Anguko la Kenya ni viongozi wake wenyewe kwa kuzidisha sifuri.
Kenya miradi mingi imeendeshwa kiupigaji kaka.Ndio kwani wapi hazikutumika kama ilivyokusudiwa? Shida ni kuanzisha miradi ya Kisiasa ambayo Haina Tija kiuchumi eg Sgr yenu Ina Tija gani kiuchumi?
Metre gauge ya TRC ni wasimamizi ndio hawaiendeshi ipasavyo,ila TRC huwa haizalishagi hasara kwa kiwango hicho.Kenya Kuna Ufisadi vs Tanzania miradi ya kukurupuka.
Sitarajii Tzn kufikia hatua ya Kushindwa kulipa deni ila hakuna faida itakuja kuletwa na hiyo Sgr zaidi ya hasara Kila mwaka.mfano mzuri ni Tazara na meter gauge ya TRC.
SGR ya Tz Ina faida Gani wewe chawa?Ndio kwani wapi hazikutumika kama ilivyokusudiwa? Shida ni kuanzisha miradi ya Kisiasa ambayo Haina Tija kiuchumi eg Sgr yenu Ina Tija gani kiuchumi?
Nyumbu UmekurupukaSGR ya Tz Ina faida Gani wewe chawa?
Kipi kiliwahi simamiwa na Serikali hapa Tanzania kikaleta faida kibiashara?Metre gauge ya TRC ni wasimamizi ndio hawaiendeshi ipasavyo,ila TRC huwa haizalishagi hasara kwa kiwango hicho.
SGR kama itasimamiwa vizuri italeta faida mkuu,ila NI KAMA ITASIMAMIWA VIZURI.
Shida Tanzania tunafeli usimamizi.
Aisee hapo kaka siwezi kukupa jibu kamili,wacha nitafiti kesha nirejee.Kipi kiliwahi simamiwa na Serikali hapa Tanzania kikaleta faida kibiashara?
Uhitaji upo,sema hio miradi ilitakiwa iende na mwenye vision yake,,,,maana shida inakuja kwenye usimamizi ila uhitaji upoTiming ya miradi na Tija ya miradi.Tzn hii ilikuwa inahitaji hayo ma Sgr na mandege ya mabilioni.kwa Matrilioni? Hata wakoloni walijenga reli pale tuu kulikopkuwa na mzigo wa kubeba.
Ndio kwani wapi hazikutumika kama ilivyokusudiwa? Shida ni kuanzisha miradi ya Kisiasa ambayo Haina Tija kiuchumi eg Sgr yenu Ina Tija gani kiuchumi?
Mwenye vision ni nani? Alisikamia kipi kabla kikaleta faida kibiashara?Uhitaji upo,sema hio miradi ilitakiwa iende na mwenye vision yake,,,,maana shida inakuja kwenye usimamizi ila uhitaji upo
Mbio za mwenge,,,,,faida kibiashara tunazijua sie wa ndumba🚶♂️🚶♂️🚶♂️Kipi kiliwahi simamiwa na Serikali hapa Tanzania kikaleta faida kibiashara?
Alisimamia kunyoosha nchi ili mambo yaendeMwenye vision ni nani? Alisikamia kipi kabla kikaleta faida kibiashara?