kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
unataka amwagie petrol kwenye motoWaziri wa Habari ni Nani? huko mbona hapigi simu moja tu. Internet izimwe nchi nzima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka amwagie petrol kwenye motoWaziri wa Habari ni Nani? huko mbona hapigi simu moja tu. Internet izimwe nchi nzima?
Unaelewa unachoongea? Ninkama tanesco wazime umeme na mitambo yao. Watu wengi wasa wanahamia kwenye solar system au source ingine ya umeme.Akizima Kuna VPN watawasha na itatumika Mkuu internet kuzima sio rahisi
Safi sana alichezea sharubu za putinEti Ruto anaenda G7 kumshambulia Putin, nilishajua anajitafutia maneno na the Russia the Mighty. Atajua hujui
naunga mkono hojaUnaelewa unachoongea? Ninkama tanesco wazime umeme na mitambo yao. Watu wengi wasa wanahamia kwenye solar system au source ingine ya umeme.
Akizima internet inakuwa ka show mabubu wasikilizaji viziwi na majudge vipofu
Baada ya kuzima Internet ndo aanze kuwapelekea chuma kimya kimya hao Gen Zirooooo mpaka waishe wote
Ruto atangaze hali ya hatari haraka iwezekanavyo!!Tunisia na Misri walizima internet na bado wakaondoka.
Watu wameshakufa tayari, sidhani kama kuna kurudi nyuma tena.Ruto atangaze hali ya hatari haraka iwezekanavyo!!
Alipaswa Kusaini Ile bill. Ona sasa jamaa wanavyomghasiHaita saidia kitu zaidi atakuwa amezidi kupalilia moto kichwani.
Ikumbukwe wanatumia satellite ya Elon MuskAkizima Kuna VPN watawasha na itatumika Mkuu internet kuzima sio rahisi
Naunga mkono hoja mkuu [emoji23]Ikumbukwe wanatumia satellite ya Elon Musk
Azime kwanzaHaita saidia kitu zaidi atakuwa amezidi kupalilia moto kichwani.
Utapelekea chuma wangapi? Africans hizi akili za kijima mtaacha liniBaada ya kuzima Internet ndo aanze kuwapelekea chuma kimya kimya hao Gen Zirooooo mpaka waishe wote
Nakubaliana na ww angesain t halaf akashughulika nao hao wahuni kwa mkono wa chuma wangetulia kama mmoja ila kitendo cha kukataa t kusaini wahuni wanaona kumbe wanammudu watamsumbua sana.Alipaswa Kusaini Ile bill. Ona sasa jamaa wanavyomghasi
Wahaini dawa Yao ni moja tuUtapelekea chuma wangapi? Africans hizi akili za kijima mtaacha lini