Ruto zima Internet vinginevyo unaondoka

Ruto zima Internet vinginevyo unaondoka

Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka..

Linda cheo chako na washkaji zako.

BTW Chebukati kaenda wapi?
Hata akiandoka wewe inakuhusu nini? Kiherehere cha kipumbavu hicho!
 
Labda azime simu yake akimbie mwenyewe vinginevyo atakutwa kanyongewa chooni.
 
Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka..

Linda cheo chako na washkaji zako.

BTW Chebukati kaenda wapi?
Huo ukiritimba na uchoko wa kuzimiana mtandao mkaufanye huko huko kwenyu matopeni tanganyika, chukua ufagio kafagie kwako, kalb hayawan wahed.
 
Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka..

Linda cheo chako na washkaji zako.

BTW Chebukati kaenda wapi?
Unamshauri atumie choo ndotoni?
 
Zama hizi unafikiri ukizima internet ndio umemaliza?

Mataifa mengi ya Asia wamefungia mitandao ya kimagharibi yote , Facebook, WhatsaApp , X na kadhalika ila mtandaoni huko ndio kwanza wamejaa kwa sababu ya VPN!

Huo ushauri wala hata hauna maana yoyote asikilize wanavyotaka wao ndio wamemuweka hapo sio kurudi zama za giza kujidanganya kuzima mitandao.
 
Nakubaliana na ww angesain t halaf akashughulika nao hao wahuni kwa mkono wa chuma wangetulia kama mmoja ila kitendo cha kukataa t kusaini wahuni wanaona kumbe wanammudu watamsumbua sana.
Akili za hovyo kama hizi ndio maana Africa tutaendelea kuwa maskini wa kutupa, hakuna nchi ya kistaarabu na kuendelea inayoua au kutumia mkono wa chuma kwa wananchi wake kwa sababu hawakubaliani
 
Akili za hovyo kama hizi ndio maana Africa tutaendelea kuwa maskini wa kutupa, hakuna nchi ya kistaarabu na kuendelea inayoua au kutumia mkono wa chuma kwa wananchi wake kwa sababu hawakubaliani
Demekrasia ni kwa nchi zilizoendelea kaka huku africa kuletwa hii demokrasia ni kutuchelewesha t kufikia malengo yetu.
 
Funga shule na vyuo vyote, zima umeme kwa muda wa alafu suspect mitandao ya kijamii.
Ukijua wapi wapo! Zima internet japo kuna hatari ya kuamsha balaa zaidi...
Mkuu kuna mchambuzi wa aina yake, kasema chanzo cha vurugu ni Haiti.Anasema Haiti ina matatizo yanayofanana na Kenya sababu ya ufisadi na tawala isiozingatia sheria na haki kwa wananchi wake.
Urban gorilla (wanamgambo)wa Haiti wamechukua siraha na kupambana na mamlaka.
Anasema Raisi Ruto kukubali kupeleka jeshi la polisi Haiti kupambana na wanamgambo hao iliwaudhi sana wanamgambo hao nao wamemtumia moto mkali.
Haiti ni nchi yenye mambo ya kishirikina wakiita voodoo.

Mchambuzi huyo wa aina yake anasema maadamano yanayoendelea Kenya ya kupinga serikali yapo karibu nchi nzima na inahitaji polisi wengi zaidi kutuliza ghasia hizo.

Kama ghasia zitaendelea mwezi mmoja au zaidi itabidi Raisi Ruto arudishe majeshi yake toka Haiti kutuliza ghasia hizo.
 
Mkuu kuna mchambuzi wa aina yake, kasema chanzo cha vurugu ni Haiti.Anasema Haiti ina matatizo yanayofanana na Kenya sababu ya ufisadi na tawala isiozingatia sheria na haki kwa wananchi wake.
Urban gorilla (wanamgambo)wa Haiti wamechukua siraha na kupambana na mamlaka.
Anasema Raisi Ruto kukubali kupeleka jeshi la polisi Haiti kupambana na wanamgambo hao iliwaudhi sana wanamgambo hao nao wamemtumia moto mkali.
Haiti ni nchi yenye mambo ya kishirikina wakiita voodoo.

Mchambuzi huyo wa aina yake anasema maadamano yanayoendelea Kenya ya kupinga serikali yapo karibu nchi nzima na inahitaji polisi wengi zaidi kutuliza ghasia hizo.

Kama ghasia zitaendelea mwezi mmoja au zaidi itabidi Raisi Ruto arudishe majeshi yake toka Haiti kutuliza ghasia hizo.
Hii ni kwa wanao amini ushirikina. Kenya GEN Z wengi ni vijana walio vyuoni na walio maliza (Hawana ajira)
Tatizo limekuja mswada wa sheria bajeti yenye ukakasi.
Bajeti yenye matumizi kandamizi kwa kizazi hiki na kijacho.
Kumbukumbu:Mh Rais Ruto wakati ananadi sera zake. Ziliwagusa sana GEN Z, Mama mboga, Bodaboda na makapuku wenzetu wengine, Raia wakapiga kura wakamchagua.
Fadhira:Waka wa surprised na zigo zito la hata kama {hamkula mtalipa}
Wakakiwakisha na kimewaka sana wengi tumejionea. Waliweka ukabila pembeni wakapaza sauti na tumeisikia...
GEN Z: Wakae kwenye meza na mamlaka wayamalize kwani tatizo la Kenya huzuni na majonzi kwa Tanzania...
 
Hii ni kwa wanao amini ushirikina. Kenya GEN Z wengi ni vijana walio vyuoni na walio maliza (Hawana ajira)
Tatizo limekuja mswada wa sheria bajeti yenye ukakasi.
Bajeti yenye matumizi kandamizi kwa kizazi hiki na kijacho.
Kumbukumbu:Mh Rais Ruto wakati ananadi sera zake. Ziliwagusa sana GEN Z, Mama mboga, Bodaboda na makapuku wenzetu wengine, Raia wakapiga kura wakamchagua.
Fadhira:Waka wa surprised na zigo zito la hata kama {hamkula mtalipa}
Wakakiwakisha na kimewaka sana wengi tumejionea. Waliweka ukabila pembeni wakapaza sauti na tumeisikia...
GEN Z: Wakae kwenye meza na mamlaka wayamalize kwani tatizo la Kenya huzuni na majonzi kwa Tanzania...
Time will tell.
 
Itungwe sheria,Raisi akizima internet kwa ajiri ya maslahi yake au yeyote ashtakiwe na kupoteza sifa ya uraisi, tusiposimama litatokea bwege litatuzimia mpaka maji na umeme
 
Demekrasia ni kwa nchi zilizoendelea kaka huku africa kuletwa hii demokrasia ni kutuchelewesha t kufikia malengo yetu.
Tatizo mnataka shortcut sana ndio maana kila mnachofanya kinaishia njiani, maendeleo sio vitu tuu, lazima uhuru, usalama na haki za raia zilindwe na kuheshimiwa kwanza kabla ya chochote, maendeleo ya vitu ni upuuzi tuu na haviwezi kudumu kama wananchi sheria na haki havipo, angalia sasa JPM alijaribu lakini Kaja mwingine ni kama day and night na tumerudi palepale
 
Mheshimiwa pona yako ili kubaki ikulu ni kuzima Internet kama Tanganyika 2020 ili hao Gen Zero wapotezane huko mtandaoni. Vinginevyo Julai haiishi unaondoka..

Linda cheo chako na washkaji zako.

BTW Chebukati kaenda wapi?
Good thinking
 
Back
Top Bottom