Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua kama Yule jamaa wa Mtwara aliyeulizwa nini maana ya elimu bure, akajibu ni kitanda kilichotandikwa Watu wamekaa na kuongea ongea.Tatizo la ujinga bado ni kubwa sana nchini
Imagine hao ni wasomi, wanafanya mtihani na wana imani kama hizo.Je wale wasiokwenda shule kabisa?!
Elimu yetu haitusaidii kuondokana na ujinga.
We acha tu mkuuHivi mama Samia anafahamiana na kakakuona wote wa Tanzania hadi wamtii?😂😂😂
Si lazima mara zote uonyeshe upumbavu wako mbele za watu Ili upate kusifiwa au kupata reaction kutoka kwa watu.anarudisha marinda yalopotea kwene mazingira ya kutatanisha
Safari bado ni ndefuWatakua kama Yule jamaa wa mtwara aliyeulizwa nini maana ya elimu bure, akajibu ni kitanda kilichotandikwa Watu wamekaa na kuongea ongea.
Uzuri upumbavu haujichiSi lazima mara zote uonyeshe upumbavu wako mbele za watu Ili upate kusifiwa au kupata reaction kutoka kwa watu.
enzi za mwalimu alikuwa akiwekewa vitu mbalimbali kama mtabiri, upande atakaoenda ikitokea labda ni jembe basi ilikuwa ikiaminika mwaka huo kilimo kitashamiri sana.Sifa za hiyo kitu imetajwa ni zipi? Nahitaji kujifunza wakuu
Hata wazungu walikuwa ivyoImani ya kipuuzi tu kama zingine.
Afrika na imani za kichawi mmmh
Mnyama Kakakuona ameonekana katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Feo, mkoani Ruvuma, huku baadhi ya wanafunzi wakiwemo wanaofanya mtihani wa kidato cha nne, wakifurahia kutokea kwa mnyama huyo, wakiamini ni neema kubwa kutokana na tabia za mnyama huyo.
Shukrani mkuu.enzi za mwalimu alikuwa akiwekewa vitu mbalimbali kama mtabiri, upande atakaoenda ikitokea labda ni jembe basi ilikuwa ikiaminika mwaka huo kilimo kitashamiri sana.
kakakuona wamejaa tu kwenye mbuga za wanyama huko na ukiwaona huku mitaani jua wamepotea njia walikuja kutafuta chakula chao. hivi kweli hadi leo watu wanaamini kakakuona ni mnyama adimu ambaye akipatikana anaashiria bahati? if that was the case, mbona matajiri wakubwa wanao uwezo kununua kakakuona toka nchi yeyote wawafuge, tungekuwa na ufugaji wa kakakuona hapa duniani kama hiyo ingekuwa kitu cha kweli. tusingehangaika kufuga kuku wala ng'ombe.Mnyama Kakakuona ameonekana katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Feo, mkoani Ruvuma, huku baadhi ya wanafunzi wakiwemo wanaofanya mtihani wa kidato cha nne, wakifurahia kutokea kwa mnyama huyo, wakiamini ni neema kubwa kutokana na tabia za mnyama huyo.