Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
View: https://youtu.be/f1iGQkhTgC8?si=_WO3Xc6_s9UbYlff
Huu Uchaguzi tayari umekwisha, Tundu Lissu ni mshindi kwa zaidi ya 80% huu ndio Ukweli,
Kwa idadi ya wajumbe wanaomuunga Mkono Lissu ni wazi atashinda Uchaguzi huu kwa margin kubwa,
Mjumbe usipotoshwe njia sahihi ni Tundu Lissu,